Video: Saleh Jembe, Saleh Jembe, Saleh Jembe. Nimekuita mara tatu. Jiangalie

Video: Saleh Jembe, Saleh Jembe, Saleh Jembe. Nimekuita mara tatu. Jiangalie

Inaonekana unajua ku_google, ila hujataja timu inayomilikiwa na Wamiliki wa Bayern Munich nje ya Bayern yenyewe. Nasubiri utaje jina la hiyo timu! Soma vizuri post yako wewe mwenyewe namba 10. Maana umejaribu kudai kuna timu nyingine inayomilikiwa na wamiliki wa Bayern Munich nje ya bayern yenyewe. Itaje.

Wewe usinichoshe, umesema Bayern inamilikiwa na Bayern wenywe, mimi nmekuonesha watu nje ya Bayern ambao ni Audi, Allianz, na Adidas pia wanamiliki Bayern Munich? Unakubaliana na hao wamiliki kwanza? Ili nikupeleke kwenye point yangu?
 
Wewe usinichoshe, umesema Bayern inamilikiwa na Bayern wenywe, mimi nmekuonesha watu nje ya Bayern ambao ni Audi, Allianz, na Adidas pia wanamiliki Bayern Munich? Unakubaliana na hao wamiliki kwanza? Ili nikupeleke kwenye point yangu?
Taja timu acha kuzunguka kama pia!
 
Pole sana, tatizo lenu mnakaa vijiweni mnajiona wachambuzi alafu Dunia hamuijui.
Wewe unayeijua dunia, mbona umeshindwa kuitetea post yako namba 10!? Au unaandika andika tu bila kusoma unachoandika!?
 
Kwanini Simba SC wako kimya hawaenda mahakama za mpira na CAF? Kitendo cha uongozi wa Simba SC kukaa kimya ni tatizo kubwa
Simba hawawezi kwenda popote kwakua kabla ya apo GSM wali ingia mkataba na Tff ili kudhamini vilabu vyote vya ligi kuu kwa thamani ya Billion moja kama wafanyavyo NBC.
Simba ndio waligomea udhamini uo na kushinikiza hawako tayari kwa jambo ilo.

Kwa kutumia busara TFF wakaongea na GSM kujitoa na GSM kuingia hasara kubwa kwakua Timu nyingi zilishapata sehemu ya udhamini uo ikiwemo Jezi.

Uyo Salehe Jembe ni Mwandishi wa muda kidogo lakini mahaba yake kwa Simba yamemfanya kuwa Zuzu.

Fuatilia mahojiano yake yote u tube anakua kama msemaji wa Simba.

Kinacho mwangusha ni uelewa wake mdogo juu ya mambo mengi yanayo hitaji ufahamu wa kutosha.
 
Back
Top Bottom