Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

Hivyo vijembe huwa vinamuhusu kiba? Kwanini?
 
Inawezekana kabisa ukawa na ugonjwa wa kutokuelewa.
 
Kuna mambo mengine ni kutumia tu common sense, bila hata kuzunguka saaana...Criss amelipwa kiasi gani na Kiba amelipwa kiasi gani kwenye show hiyo hiyo?

Sasa ni kwa vipi Waandaaji/Watu wa CB watamsubiri Ally amalize anachofanya alafu ndio CB (ambaye kwa vyovyote ndiye mgeni rasmi kwa show ile) aje apande stejini?

Kama hao Waandaaji/Watu wa CB walimsikiliza Sallam alipoagiza mic izimwe...je wangemsikiliza pia kama angeagiza iwe kinyume chake...yaani Kiba aachiwe aendelee kutumbuiza?
 
Afadhali umekuwa shabiki wa Alikiba..maana ungekuwa shabiki wa Diamond ungetutia aibu sana..

Mpaka leo unafananisha muziki na harusi?!baki huko huko kwa Alikiba[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] abaki huko huko kwa kweli.
 
Kwa ufupi alietakiwa kupanda ni Wizkid kabla ya kiba nthen afuate Kiba ila Salam akamletea fitna Kiba ndio sababu ya kiba ku delay maana program haikuwa hivo halafu pia Salam na meneja wa wizkid ni marafiki na meneja wa wizkid ndio meneja wa Diamond upande wa west africa kwahiyo salam ulihhusika kumfitini kiba.shame on you.
 
Kweli kabisa, hata darasani wanafunzi wanaweza wakaelewa 87% wengine wataelewa siku nyingine, au wasielewe kabisa, hawa ndo huwa tunawaita mbumbumbu.
 
kumbe mameneja wa diamond walikuwa wawili huko Backstage? Sasa kwanini ammind salam peke yake?
 
SK mendez huwa anasema hivi "Nisipokuwa upande wako ukinipenda we utakuwa malaika" Pengine jamaa anasura fulani hivi ya wizi wizi au fitna fitna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], anasema hata wakati anaonana na Diamond kwa mara ya Kwanza Diamond alionesha "kutokumpenda". (Kutokupendezwa nae)
Nashindwa kuelewa kwanini kiba amhofie SK kila akikutana naye?
Najiuliza tu jamaa anavi nasaba vya Scorpion au Nyoso?

Binafsi I can relate anachokisema, kwasababu nina experience nacho, mara nyingi sana nikikutana na watu katika kazi mbalimbali za kijamii huwa hawaoneshi kunipenda, (hii nimeiona sana nilikopita shuleni, vyuoni, makazini kote nilikopita) baadae mtu anakiri mwenyewe kuwa nilikuwa nakuonaje sijui kumbe ni mtu poa hivi. Cha ajabu mi huwa nawapenda watu at first place labda nije niwaone waajabu baadae. I hope kuna watu washawahi kuona hichi kitu pia.
 
Wao waliona Kiba angepata status maana kupishana na Chriss brown jukwaani ndio sababu hiyo tu ni wivu tu unawasumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…