Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

Afadhali umekuwa shabiki wa Alikiba..maana ungekuwa shabiki wa Diamond ungetutia aibu sana..

Mpaka leo unafananisha muziki na harusi?!baki huko huko kwa Alikiba[emoji23][emoji23][emoji23]
Brain ndio mhimu, hasa inayo fanya kazi. Hapa naongea kwa manufaa ya Tz siyo Diamond wala AllyKiba.
 
Ww mm siko hivyo. AllyKiba na Diamond wote ni tunu kwa TZ. Tusiendekeze umimi ktk kulitangaza Taifa, Diamond wala AllyKiba si chochote kwa Tanzania. Tuitangaze Tz kwa pamoja siyo kwa uchawi kama huu tena wa hadharani na wa kijinga.

Huyo Meneja iwe mara ya Mwisho kupanda jukwaa asilokuwepo Diamond. Business deals has its official time!!

Mimi sio mshabiki wa muziki yao sina timu lakini madai anayolalamika Kiba kuhusu Diamond ni ya kitoto sana anatia aibu kibaaya zaidi hataki kubadilika.
Salam kazi yake inamruhusu kufika back stage,tuzo hazinunuliwi back stage
 
Huyu Sallam siyo smart kama baadhi wanavyodai. Anauteam sana! Kulikuwa na ulazima gani wa kusema Kiba kafanya shoo mbaya hivyo anatakiwa ajipange next time? Jinsi alivyoongelea issue ya Wizkid ni ushahidi mwingine tosha! kwamba alikiba alikuwa na mvutano na Wizzy akidai yeye ni mkubwa zaidi, huu ni uchonganishi! anasema kama hana uhakika lakini anataka wasikilizaji waamini ni kweli!
Wanasema JEURI dawa yake ni KUSUDI!!sasa we umeshamzushia mtu uzushi ambao dunia nzima imejua kama umesema uongo!!halafu ulitegemea Sallam amsifie alikiba kwamba amefanya vizuri?!hajafanya vizuri hata hivyo
 
Ww mm siko hivyo. AllyKiba na Diamond wote ni tunu kwa TZ. Tusiendekeze umimi ktk kulitangaza Taifa, Diamond wala AllyKiba si chochote kwa Tanzania. Tuitangaze Tz kwa pamoja siyo kwa uchawi kama huu tena wa hadharani na wa kijinga.

Huyo Meneja iwe mara ya Mwisho kupanda jukwaa asilokuwepo Diamond. Business deals has its official time!!
Yaani kwa vile Kiba yupo kwenye show ya kualikwa basi wengine wasifanye deal zao? Kiba ni kiburi nadhani hata meneja wake hawezi kummanage. Hili swala lingekuwa handled at management level yasingetokea yote. Seven Mosha alitakiwa aratibu mambo yote tokea kwenye contract stage. Huwezi kuingia mkataba ambao masharti yake huyajui labda kama umekuwa chief mangungo.
Ilitakiwa ajue anapanda stejini kwa ratiba ipi sio kulazimisha kupanda asipotakiwa. Kama nchi ametudhalilisha. Ingekuwa kwa Mugabe angekuwa jela muda huu kwa kuharibu sifa ya nchi yetu.
 
Mimi sio mshabiki wa muziki yao sina timu lakini madai anayolalamika Kiba kuhusu Diamond ni ya kitoto sana anatia aibu kibaaya zaidi hataki kubadilika.
Salam kazi yake inamruhusu kufika back stage,tuzo hazinunuliwi back stage
Anafuata nn hasa Backstage hasa show za AllyKiba wakati Diamond hayupo?
Business deals has Official time.
 
Ww mm siko hivyo. AllyKiba na Diamond wote ni tunu kwa TZ. Tusiendekeze umimi ktk kulitangaza Taifa, Diamond wala AllyKiba si chochote kwa Tanzania. Tuitangaze Tz kwa pamoja siyo kwa uchawi kama huu tena wa hadharani na wa kijinga.

Huyo Meneja iwe mara ya Mwisho kupanda jukwaa asilokuwepo Diamond. Business deals has its official time!!

Umeenza vizuri umemaliza kwa ugoro!!
Sio meneja wa diamond pekee alie kuwepo pale
Wacheni upuuzi
Kiba kama kaboronga niheri atulie tu
 
Umeenza vizuri umemaliza kwa ugoro!!
Sio meneja wa diamond pekee alie kuwepo pale
Wacheni upuuzi
Kiba kama kaboronga niheri atulie tu
Ma manager wengine hawakuwa Backstage. Ni wageni na seat zao.
 
Wanasema JEURI dawa yake ni KUSUDI!!sasa we umeshamzushia mtu uzushi ambao dunia nzima imejua kama umesema uongo!!halafu ulitegemea Sallam amsifie alikiba kwamba amefanya vizuri?!hajafanya vizuri hata hivyo
Ndo uone ajabu hapo walichotaka wakione ni sallam akiomba msamaha kwa kukaa backstage wakati bushman akipeform uwiii kama sio upupu ni nin
 
Mkuu madili ya yy na Chris Brown huwezi kufanya saa 6 usiku, muda mzr ni Official time.
Anaweza kuwa anajittea tu. Ila kwann huwa anapenda kupanda jukwaani hasa siku amabazo AllyKiba ana perform, make inaonesha huko nyuma pia nchini Kenya amawahi kufanya hivyo. Na siku hizo huwa Diamond hayupo!!
Official time ni muda gani? Muda wowote mtu unaweza kumake deal. Sasa na muda wa kazi we unapangia watu?
 
Mkuu madili ya yy na Chris Brown huwezi kufanya saa 6 usiku, muda mzr ni Official time.
Anaweza kuwa anajittea tu. Ila kwann huwa anapenda kupanda jukwaani hasa siku amabazo AllyKiba ana perform, make inaonesha huko nyuma pia nchini Kenya amawahi kufanya hivyo. Na siku hizo huwa Diamond hayupo!!
Ushabiki utakutoa roho[emoji28][emoji28]yaan hapo najua roho inakuuma sana haahaha meza panadol ulale fundi mitambo ameshawanyoosha nyie bushmen[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo ww unajua kuliko anacho kieleza kwenye video yy?
A mesema stage ni wasanii na watu kama sisi tusiyo perform tunakaa Backstage, huenda siku nikitoa single ndio nitakuwa on Stage!!

Issue hapa ni kwann anapenda kupanda jukwaani mara kwa mara siku ambayo mpinzani wake ana perform? Ili hali Diamond hapa perform? Kuna uwezakano mkubwa wa yy kuchochea Bifu au hata kuonga maDJ wakati yupo Backstage.
Tofautisha backstage na stage mkuu.
 
Sikiliza video usiwe unakurupuka kuandika bila kutafakari kwanza. Yy mwenyewe kasema kapanda mara 2 (Wizkid na Chris Brown) Backstage ila siyo on stage!! Huenda atakapo toa single yake atapanda on stage.

Issue hapa siyo kuwa either on stage or Backsatge. Issue hapa ni kwann anapenda sana kupanda Backstage hasa wakati mpinzani wake anapokuwa anaperform make amewahi kufanya tena Kenya!! Rushwa siyo lazima ushiriki on stage au kwa kuclick kitu. Mazingira yake yanatia shaka. Kama ni business issue huwezi fanyia mazingira hayo.
Wewe ndio huelewi kabisa rudia kusikiliza video amesema wakt ali kiba anaperfom yeye hakuwepo alikua kwnye rooms na wakaagiza kinywaji
Uchawi umewarudia
 
Back
Top Bottom