Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

Kiba anaweza asiwe mjinga ila mjinga ni yule ambaye amewekewa mtiririko wa inshu nzima na bado haelewi upande upi ni pumba kama za reprofeseli wa buguruni.
Hahahah... usinifanishe na mambo ya kipumbavu(reprofeseli)
 
Mimi namkubali sana Ali ila hapa umekosea mkuu. Kumtuhumu moja kwa moja jamaa umekosea. Sisi wote watanzania tukae tuyazungumze yaishe tuendelee kupiga hatua zaidi.
 
Kama kawaida ma slow momo wanakumbuka shuka kushakucha. Dumb Ass.
 
Kumbe na wewe umeliona hilo , kipindi kimekuwa cha kiba
 
Kiba anaweza asiwe mjinga ila mjinga ni yule ambaye amewekewa mtiririko wa inshu nzima na bado haelewi upande upi ni pumba kama za reprofeseli wa buguruni.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] we jamaa bhana jaani kuelezewa kila kitu lakini bado mbishi
 
Umeukosha moyo wangu hebu kunywa soda kwa mangi nitakuja kulipa baadae[emoji7] [emoji8]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] we jamaa bhana jaani kuelezewa kila kitu lakini bado mbishi
Mimi nilielewa kiba anaongea pumba kabla hata ya kumsikiliza sallam. Nawasaidia hao wanaozidi kumharibu kiba kwa kumsapoti hata pale anapokosea pasipo kumuambia ukweli.
 
Alikiba amekosea kumtuhumu moja kwa moja huyu jamaa lakini ampi sababu ya Sallam kumtuhumu Kiba kuwa anachuki na Mondi. Kama ni chuki nadhani hata wao wanachuki, tena kubwa tu na Kiba!

Mnakumbuka baada ya show ya Mombasa Kiba kupanda jukwaani kama surprise artist jamaa aliongeaje? Post kibao insta kumdhihaki Kiba! ile itafsriwe nini kama sio chuki! wakati Mondi anafanya sijui remix anamdhihaki Jamaa anapost Tembo yeye anapost show ile ni nini? ni upendo ama? na huyu huyu jamaa sallama sijui nani ndiye aliyekuwa anasambaza clip huko insta! that is insane for a nigga who claims to be an international promoter!

Huyu jamaa ameacha majukumu yake ya msingi kama promoter na kugeuka kuwa mpiga zumari wa Mondi huku akiendekeza bifu na msanii mwengine. Ila akae akijua kuwa yeye ni muajiriwa tu! leo yuko kwa Mondi hawezi juwa kesho atakuwa wapi, anaweza kufanya na Kiba pia, haya ni maisha tu! Psquare walitaka kumtosa meneja wao ambaye ni kaka yao wa damu, Beyonce Kamtosa baba yake mzazi sembuse huyu! Ukisoma post zake insta ni zaidi ya kumpromot msanii wake, lazima aweke vijembe ambavyo ni unnecessary!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…