Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

Kiba anaweza asiwe mjinga ila mjinga ni yule ambaye amewekewa mtiririko wa inshu nzima na bado haelewi upande upi ni pumba kama za reprofeseli wa buguruni.
Hahahah... usinifanishe na mambo ya kipumbavu(reprofeseli)
 
Mimi namkubali sana Ali ila hapa umekosea mkuu. Kumtuhumu moja kwa moja jamaa umekosea. Sisi wote watanzania tukae tuyazungumze yaishe tuendelee kupiga hatua zaidi.
 
Kama kawaida ma slow momo wanakumbuka shuka kushakucha. Dumb Ass.
 
Kitu gani chini ya kapeti, zaidi ya kuamini imani za kishirikina, na tatizo jingine mashabiki wa kiba wanamponza sana, wamemfanya aamini yeye ni mkali sana kuliko wote Africa, kitu ambacho sio cha kweli kabisa, eti leo anataka wizkid apande kwanza stageni, kama sio upuuzi ni nini, sifa za kina Diva zinamvimbisha kichwa, maana kipindi kizima ni anasifiwa Kiba tuu
Kumbe na wewe umeliona hilo , kipindi kimekuwa cha kiba
 
Kiba anaweza asiwe mjinga ila mjinga ni yule ambaye amewekewa mtiririko wa inshu nzima na bado haelewi upande upi ni pumba kama za reprofeseli wa buguruni.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] we jamaa bhana jaani kuelezewa kila kitu lakini bado mbishi
 
Mfalme juaha kaumbuka aibu yake hii anatamaini kurudisha tapishi lake mdomoni ila ndio hivo neno likishatamkwa halirudi mdomoni nimeamini maneno ya kale fikiri kabla ya kutenda ,
Roho mbaya chuki wivu imani za kishirikina na kutafuta sympathy kwa watu na mashabiki ndio kifo cha carrier yako mfalme **** kibakuli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mzee wa mishtusho mkurupukaji hayo matusi yenu na timu zenu mkanywee chai na mfalme **** wenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aibu yao pakuficha sura za aibu hawana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti mkubwa kuliko wizkid labda ki umri , East Arika tu bado hujatoboa unajifananisha level za wizkid ,
Aibu kubwa ugomvi wa nyumbani kuupeleka kwa majirani nia yako ilikua umchafue sallam sk au umtafutie maadui chibu kibakuli unaroho ya paka ptuuuu.

Najutia kujifanya mzalendo kura niliyo kupigia kumbe chizi ivo? kuanzia leo nita wa pigia kina veemoney tu. Wanao msubiri mond ashuke kama wamesimama wachukue viti wakae ndio waendelee kumsubir lasivo watachoka
Huu mchezo hautaki hasira[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
Umeukosha moyo wangu hebu kunywa soda kwa mangi nitakuja kulipa baadae[emoji7] [emoji8]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] we jamaa bhana jaani kuelezewa kila kitu lakini bado mbishi
Mimi nilielewa kiba anaongea pumba kabla hata ya kumsikiliza sallam. Nawasaidia hao wanaozidi kumharibu kiba kwa kumsapoti hata pale anapokosea pasipo kumuambia ukweli.
 
Alikiba amekosea kumtuhumu moja kwa moja huyu jamaa lakini ampi sababu ya Sallam kumtuhumu Kiba kuwa anachuki na Mondi. Kama ni chuki nadhani hata wao wanachuki, tena kubwa tu na Kiba!

Mnakumbuka baada ya show ya Mombasa Kiba kupanda jukwaani kama surprise artist jamaa aliongeaje? Post kibao insta kumdhihaki Kiba! ile itafsriwe nini kama sio chuki! wakati Mondi anafanya sijui remix anamdhihaki Jamaa anapost Tembo yeye anapost show ile ni nini? ni upendo ama? na huyu huyu jamaa sallama sijui nani ndiye aliyekuwa anasambaza clip huko insta! that is insane for a nigga who claims to be an international promoter!

Huyu jamaa ameacha majukumu yake ya msingi kama promoter na kugeuka kuwa mpiga zumari wa Mondi huku akiendekeza bifu na msanii mwengine. Ila akae akijua kuwa yeye ni muajiriwa tu! leo yuko kwa Mondi hawezi juwa kesho atakuwa wapi, anaweza kufanya na Kiba pia, haya ni maisha tu! Psquare walitaka kumtosa meneja wao ambaye ni kaka yao wa damu, Beyonce Kamtosa baba yake mzazi sembuse huyu! Ukisoma post zake insta ni zaidi ya kumpromot msanii wake, lazima aweke vijembe ambavyo ni unnecessary!
 
Back
Top Bottom