Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

Tuna angalia "The Possible Remote Cause of the Problem". Mm nadhani Tz hii haitatangazwa na AllyKiba au Diamond pekee yao. Bwana Samatta yupo, na wengine wengi sana.

Connection ndio Backstage? Saa 6 za usiku? Acheni kutetea vitu vya ajabu.

Sasa huu ujinga wa kuhudhuria harusi isiyo yako wakati muolewaji hajakuchagua siyo mzr.
 
Hujo jamaa ana fedha kiasi gani kwenda kuhonga hadi Kenya?

Chris Brown aliwasili Kenya siku ile ya show na perfomance yake illikuwa aanze saa tano usiku na saa saba usiku anaondoka kurudi US
Ulikuwa na ratiba yake mkuu? Kuhonga alikuwa anahonga raia wote wa Kenya au?
 

Sasa kama Kiba anamuogopa Salam kwenye stage sasa akikutana nae live kwenye radio si atazimia kabisa
 
Wewe uczunguke jibu maswali hayo nlokuulza. Salam kapanda jukwaan saa ngaoi huko msa mm cjaona lete picha. Khs shule wapo kibao hawajasoma na wako mbali
Mwandiko wako unanichanganya, ni Kiswahili au? Angalia na sikiliza Video.
 
Huyu Sallam siyo smart kama baadhi wanavyodai. Anauteam sana! Kulikuwa na ulazima gani wa kusema Kiba kafanya shoo mbaya hivyo anatakiwa ajipange next time? Jinsi alivyoongelea issue ya Wizkid ni ushahidi mwingine tosha! kwamba alikiba alikuwa na mvutano na Wizzy akidai yeye ni mkubwa zaidi, huu ni uchonganishi! anasema kama hana uhakika lakini anataka wasikilizaji waamini ni kweli!
 
We ndio wale wale
 
Unaishi dunia gani ndugu yetu?
Mchawi wa Ally Kiba ni yeye mwenyewe na ataendelea kulialia kila siku
Ww mm siko hivyo. AllyKiba na Diamond wote ni tunu kwa TZ. Tusiendekeze umimi ktk kulitangaza Taifa, Diamond wala AllyKiba si chochote kwa Tanzania. Tuitangaze Tz kwa pamoja siyo kwa uchawi kama huu tena wa hadharani na wa kijinga.

Huyo Meneja iwe mara ya Mwisho kupanda jukwaa asilokuwepo Diamond. Business deals has its official time!!
 
tamasha la kiba?
nitajie concert za kiba ambazo sallam sk amewahi kupanda back stage
Ndio Allykiba, Chris Brown, Wizkid, Vanessa, etc.
Kwenye hiyo video kakili. Na muendesha kipindi kamuuliza inonesha unapenda sana Backstage!!
 
Afadhali umekuwa shabiki wa Alikiba..maana ungekuwa shabiki wa Diamond ungetutia aibu sana..

Mpaka leo unafananisha muziki na harusi?!baki huko huko kwa Alikiba[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…