Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

Mfalme juaha kaumbuka aibu yake hii anatamaini kurudisha tapishi lake mdomoni ila ndio hivo neno likishatamkwa halirudi mdomoni nimeamini maneno ya kale fikiri kabla ya kutenda ,
Roho mbaya chuki wivu imani za kishirikina na kutafuta sympathy kwa watu na mashabiki ndio kifo cha carrier yako mfalme **** kibakuli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mzee wa mishtusho mkurupukaji hayo matusi yenu na timu zenu mkanywee chai na mfalme **** wenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aibu yao pakuficha sura za aibu hawana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti mkubwa kuliko wizkid labda ki umri , East Arika tu bado hujatoboa unajifananisha level za wizkid ,
Aibu kubwa ugomvi wa nyumbani kuupeleka kwa majirani nia yako ilikua umchafue sallam sk au umtafutie maadui chibu kibakuli unaroho ya paka ptuuuu.

Najutia kujifanya mzalendo kura niliyo kupigia kumbe chizi ivo? kuanzia leo nita wa pigia kina veemoney tu. Wanao msubiri mond ashuke kama wamesimama wachukue viti wakae ndio waendelee kumsubir lasivo watachoka
Huu mchezo hautaki hasira[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
Sio tu kumchafua Sallam, nia ni kuichafua wcb kwa ujumla, anapaswa kuwaomba radhi kwa kweli, hili sio jambo la kuchukulia poa kabisa, Kuijenga WCB hii tunayoiona sasa hivi watu wamevuja jasho, gharama kubwa imetumika, anapotokea mtu kwa sababu ya chuki na wivu wake akataka kuharibu image yao hatakiwi kuchekewa hata kidogo, yeye kwa sababu amelianzisha alimalize kwa kuomba radhi, vinginevyo tunae.
 
Kitu gani chini ya kapeti, zaidi ya kuamini imani za kishirikina, na tatizo jingine mashabiki wa kiba wanamponza sana, wamemfanya aamini yeye ni mkali sana kuliko wote Africa, kitu ambacho sio cha kweli kabisa, eti leo anataka wizkid apande kwanza stageni, kama sio upuuzi ni nini, sifa za kina Diva zinamvimbisha kichwa, maana kipindi kizima ni anasifiwa Kiba tuu
Mm huwa sielewi kwa nn watu husema Kiba ni mkali kuliko wote,kuna tofauti kubwa kati ya kuwa na sauti nzr na kuimba mziki mzr utakaopendwa kusikilizwa na kibiashara,Kiba ana sauti but nna hofu kidg kuhus biashara yake ya muziki,Wanaomsifia ni wale wasiompenda Mondi,na ndio maana wanamsifia kwa kila kitu ili wamrudishe numa mondi,matokeo ndo haya kila afanyalo anawaza Mondi ananiangalia au anafanya fitina,Analewa sifa zisizo na msingi akat hamna anachofanya matokeo yake ndo hayo kawaboa watu mpk wakamzimia mic...Nna hofu pia km kulikuwa na marumbno kati ya wizzy na kiba mahusiano yao baada ya hapo.
 
Uwezo wako wa kufikiri ndiyo umeishia hapo, jenga hoja kijana hata kama ni la saba jaribu kuficha ujinga wako!
 
yeees na kumuuliza maswali ya msingi kabisa.

anamuuliza watu wanataka kujua ulifata nini kwenye show?

je ni kweli ulikua back stage? kwanini?

hakuishia hapo akamuita na Dj Mkuu aliekua pale stage.

Dj anasema alivyokua anajua yeye baada ya Vannesa alitakiwa Kiba lkn akashangaa amepiga mziki saa zima bila kiba kutokea.

kwa maelezo hayo ukichaaa wa Kiba unazidi kuonekana
em muache Mr popiniii yooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Issue siyo kuwa pale. Ila ni kwanini alikuwa BACK STAGE (Nyuma ya jukwaa)? Wakati sehemu hii ni maalum kwa maDJ na Mafundi miambo tu. Je ma manager wa SAUTISOL walikuwa Backstage?

Kama kahusika Mungu amulaani kabisa!! Kwani hajamudhalarisha Ally Kiba pekee,bali pia Tanzania kwa ujumla.
 
Mkuu mtake radhi Tale. Bab tale na Fela ni mameneja wa Diamond ndani ya nchi, nje ni Salam.
Wanafanya nin huku ndani??? Nina mwaka sasa sijamuona diamond akiperform local shows ambazo zipo locally,... Kama unanielewa??? Babu tale anaweza Kuandaa corporate show ya diamond na office flani kubwa??? Arudi tip top,.. Anawaua njaa wale watoto,... They are of his league.
 
Muda wa kuingia mmarekani ulifika sasa ulitaka wafanyeje zaidi ya kuzima mk
 
Issue siyo kuwa pale. Ila ni kwanini alikuwa BACK STAGE (Nyuma ya jukwaa)? Wakati sehemu hii ni maalum kwa maDJ na Mafundi miambo tu. Je ma manager wa SAUTISOL walikuwa Backstage?

Kama kahusika Mungu amulaani kabisa!! Kwani hajamudhalarisha Ally Kiba pekee,bali pia Tanzania kwa ujumla.
Mbona hiko swali ata dj kamsaidia kua kipindi kibakuli ana perform salam hakuwepo backstage, na salam anasem walikua kny vyumba yy na meneja wa wizkid tena walkuta drinks zmeisha wakamuita muhudumu aje awaletee mpk pale wiz alivyomtxt meneja wake wakatoka nje.
Pia n yeye km meneja backstage ndo sehemu yake pia sio jukwaani akitoa single utamuona jukwaani. Alishushwa was hallucinating izo time
 
Kabisa over half an hour hataki kutumbuiza, kweli anachekesha. Shame on him kwa kutaka kuharibia wengine wanaotaka kuingia ktk biashara hii nchi za nje.

That is y hakusema vioja vyake vya kutotaka kupanda kutumbuiza.

Akalale sasa apumzike.
 
Back
Top Bottom