Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

SK mendez huwa anasema hivi "Nisipokuwa upande wako ukinipenda we utakuwa malaika" Pengine jamaa anasura fulani hivi ya wizi wizi au fitna fitna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], anasema hata wakati anaonana na Diamond kwa mara ya Kwanza Diamond alionesha "kutokumpenda". (Kutokupendezwa nae)
Nashindwa kuelewa kwanini kiba amhofie SK kila akikutana naye?
Najiuliza tu jamaa anavi nasaba vya Scorpion au Nyoso?

Binafsi I can relate anachokisema, kwasababu nina experience nacho, mara nyingi sana nikikutana na watu katika kazi mbalimbali za kijamii huwa hawaoneshi kunipenda, (hii nimeiona sana nilikopita shuleni, vyuoni, makazini kote nilikopita) baadae mtu anakiri mwenyewe kuwa nilikuwa nakuonaje sijui kumbe ni mtu poa hivi. Cha ajabu mi huwa nawapenda watu at first place labda nije niwaone waajabu baadae. I hope kuna watu washawahi kuona hichi kitu pia.
Umesema kitu cha kweli kabisa
 
Nimesikiliza mahojiano ya meneja wa Kiba amplifier mida hii, anakanusha issue ya Kiba na Wizkid kuvutana kuhusu nani apande jukwaani, kitu ambacho kwa mtu yeyote anafikiria barabara atagundua kuwa ni propaganda tu, jamaa wameongea fleshi, wakapiga picha hadi Wizzy akamwambia Kiba haondoki hadi ashuhudie shoo yake. Sallam ni mchochezi na mtu anapenda bifu!
 
Kweli kabisa, hata darasani wanafunzi wanaweza wakaelewa 87% wengine wataelewa siku nyingine, au wasielewe kabisa, hawa ndo huwa tunawaita mbumbumbu.
Kale ka utafiti mi nafikir ni watu 6 kati ya 10 wanakichaa,kwahiyo usishangee hata humu jf wamoo,huo sio umbumbumbu ni ukichaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Sasa nimeamini Alikiba ni mgonjwa
Na nina wasi wasi sana kama ugonjwa wake una tiba.. Maana kitu cha kwanza Kiba hajitambui yeye yupo level gani.. Angejitambua yeye ni wa level gani haya ya Mombasa yasingemkuta.
Mfano ni ukweli ulio wazi Wizkid yupo juu ya Kiba kulikuwa na haja gani ya kubisha aanze kuimba Wizkid??
West Africa yote Wanajua mwanamuziki mkali Tanzania na East Africa ni Diamond.. Full stop.
Shame on you Kiba..
This is a big lesson to you.
 
Nimesikiliza mahojiano ya meneja wa Kiba amplifier mida hii, anakanusha issue ya Kiba na Wizkid kuvutana kuhusu nani apande jukwaani, kitu ambacho kwa mtu yeyote anafikiria barabara atagundua kuwa ni propaganda tu, jamaa wameongea fleshi, wakapiga picha hadi Wizzy akamwambia Kiba haondoki hadi ashuhudie shoo yake. Sallam ni mchochezi na mtu anapenda bifu!

Kweli wewe hauna tofauti na uyo Kiba
 
Huyu kiba anazeeka vibaya aisee...inasikitisha sana,,anaongea kama mtoto wa nasare..
 
  • Thanks
Reactions: irk
Kwa hiyo hapo ni chriss alikua anaenda na muda [emoji23][emoji23][emoji23],ila Kiba kapata kiki bana si kwa kuongelewa huko
 
Wakubwa wazima unatutuma Facebook! Kuwa serious bwana.
Tusijidanganye! Fb remains on top. If u really want to get the real picture, uv got 2 dig deep, no matter how. Exhaust all avenues, u may learn a lesson or 2. Mchagua jembe so mkulima. E&O.E
 
Kwahiyo ww unajua kuliko anacho kieleza kwenye video yy?
A mesema stage ni wasanii na watu kama sisi tusiyo perform tunakaa Backstage, huenda siku nikitoa single ndio nitakuwa on Stage!!

Issue hapa ni kwann anapenda kupanda jukwaani mara kwa mara siku ambayo mpinzani wake ana perform? Ili hali Diamond hapa perform? Kuna uwezakano mkubwa wa yy kuchochea Bifu au hata kuonga maDJ wakati yupo Backstage.
Nakupa pole ndugu ujinga janga la taifa...[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
  • Thanks
Reactions: irk
Nimesikiliza mahojiano ya meneja wa Kiba amplifier mida hii, anakanusha issue ya Kiba na Wizkid kuvutana kuhusu nani apande jukwaani, kitu ambacho kwa mtu yeyote anafikiria barabara atagundua kuwa ni propaganda tu, jamaa wameongea fleshi, wakapiga picha hadi Wizzy akamwambia Kiba haondoki hadi ashuhudie shoo yake. Sallam ni mchochezi na mtu anapenda bifu!
kwa nini show ilisimama kwa zaidi ya saa moja?
 
Back
Top Bottom