njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Sisi ni mashahidi tu acha tuitwe majina ya kila aina maana hata tukipiga kelele mazoezi ya Bunju yasiwe ya wazi tunaitwa washamba.
Narudia tena hiyo october wakati simba anafumuliwa 4-0 na yanga patatokea vurugu kubwa sana hapo taifa kubwa mno kiasi kwamba viongozi wa simba na wachezaji watajiuliza hivi yale mazoba tunayoyatulizaga na maneno matamu ndiyo haya au la
Hata hiyo october ni mbali kwa mizaha hii inayoendela usishangae hata geita gold wakatukanda vizuri na shughuli ikaanza keshokutwa tu hapo full FFU kuingilia kati
Pole bwana vunjabei pole sana usitarajie kuona tena ile misurururu ya watu kugombania jezi hizo zinazokuja kwa mafungu maana watu walinunua hadi laki moja, vichaa jana walikuwa wanakimbiza mapumbu tu uwanjani wamekuuulia biashara yako
Narudia tena hiyo october wakati simba anafumuliwa 4-0 na yanga patatokea vurugu kubwa sana hapo taifa kubwa mno kiasi kwamba viongozi wa simba na wachezaji watajiuliza hivi yale mazoba tunayoyatulizaga na maneno matamu ndiyo haya au la
Hata hiyo october ni mbali kwa mizaha hii inayoendela usishangae hata geita gold wakatukanda vizuri na shughuli ikaanza keshokutwa tu hapo full FFU kuingilia kati
Pole bwana vunjabei pole sana usitarajie kuona tena ile misurururu ya watu kugombania jezi hizo zinazokuja kwa mafungu maana watu walinunua hadi laki moja, vichaa jana walikuwa wanakimbiza mapumbu tu uwanjani wamekuuulia biashara yako