Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Misururu ya kugombania jezi ilitokana na jezi kufika chache na kupatikana sehemu moja ila kama jezi zitafika za kutosha na kupatikana kila mahali kuna haja gani tena ya kuweka msururu pale Sinza kwa Vunja beiuna hakika mzigo unaokuja kutakuwa na misururu ya kugombania jezi?
Kwa tz yanga ipo vzr, ila caf namungo ni bora hata kuliko yangaNyie Makolo tatizo lenu kwenu tokeo ni moja tu nalo ni kushinda.
Hamuamini na hamtaki kuamini kua yanga ni bora kuliko nyie na wamesajili kimkakati.
Haya ya jana yameshaisa kikubwa 'fokasini' mbele.
Misururu ya kugombania jezi ilitokana na jezi kufika chache na kupatikana sehemu moja ila kama jezi zitafika za kutosha na kupatikana kila mahali kuna haja gani tena ya kuweka msururu pale Sinza kwa Vunja bei
NB:Jezi zitaendelea kuuzika kama kawaida na tunausubiri huo mzigo kwa hamu huwezi kuichukia timu yako kwa kufungwa mechi moja hiyo ni mentality ya kijima sana na ingekuwa hivyo kuna vilabu duniani vingekuwa hii biashara ya jezi wameshaachana nayo kwa kukosa wateja
Mkuu usikae Peke y'ako, jitahidi ukae kwenye kundi la watu maana kuna dalili ya kujinyonga naiona wazi kabisaMlifungwa na vipers 2-0.
Na msisahau mechi ya just nyie ndo mliochomoa.
Hii haina tofauti na ile uchumi kwenye makaratasi uko vizuri ila katika Hali halisi unalia maumivuKwa tz yanga ipo vzr, ila caf namungo ni bora hata kuliko yanga
Kama kuchomoa ni rahisi mbona wewe hujachomoa mpaka leo hii?Mlifungwa na vipers 2-0.
Na msisahau mechi ya just nyie ndo mliochomoa.
Utopolo nayo timu? vipers anakusalimiaKama kuchomoa ni rahisi mbona wewe hujachomoa mpaka leo hii?
Nireteee MthunguuuUtopolo nayo timu? vipers anakusalimia
"..Ila CAF Namungo ni bora kuliko yanga".Kwa tz yanga ipo vzr, ila caf namungo ni bora hata kuliko yanga
Kiukweli Ismail Aden Rage atabaki kua kiongozi wa juu wa heshima wa simba kwa miaka mingi sana kwa maana aliwajua watu ambao anaowaongoza ni watu wa aina gani.Mlifungwa na vipers 2-0.
Na msisahau mechi ya just nyie ndo mliochomoa.