Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Admins. Naona mnaondoa hizi Videos ambazo zinazungumza kwa ushahidi na wala si kashfa wala matuzi. Leo admin uliyepo ni yupi ambaye hutaki ukweli? Hakuna matusi wala kashfa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua shida ni niniKuna uzi wa YESU KRISTO MFALME naona nao umetolewa na uzi ambao ulikuwepo toka jana
Hivi kwanini mnapenda sanaa mambo yanao tugawa ya dini leteni mada zingine zinazo tuunganisha.Kuna uzi wa YESU KRISTO MFALME naona nao umetolewa na uzi ambao ulikuwepo toka jana
???????Admins. Naona mnaondoa hizi Videos ambazo zinazungumza kwa ushahidi na wala si kashfa wala matuzi. Leo admin uliyepo ni yupi ambaye hutaki ukweli? Hakuna matusi wala kashfa.
View attachment 3160236
Admins. Naona mnaondoa hizi Videos ambazo zinazungumza kwa ushahidi na wala si kashfa wala matuzi. Leo admin uliyepo ni yupi ambaye hutaki ukweli? Hakuna matusi wala kashfa.
View attachment 3160236
Zinazowaunganisha wapi?katika nini?vitu vikishakuwa viwili ni tayari vimegawanyika. Watu tunapata Elimu ya Dini. Wewe leta mada za kuwaunganishaHivi kwanini mnapenda sanaa mambo yanao tugawa ya dini leteni mada zingine zinazo tuunganisha.
Daah wanaokula sausage mna roho ngumu asee kitu imekaa vilevileMkuu hata mimi huwa nashangaa hizi mada za dini. Lakini pia tukileta mada zingine kuntu zenye mantiki na madini yaliyojitosheleza zinafutwa faster kama ya kukata gogo/kimba.
View attachment 3160259
Chaliifrancisco hydroxo
Nyau de adriz
Wamenihuzunisha sanaSijajua shida ni nini
Nini weweeeDr Sule sawa na Nabii Titto huyo ni tapeli muongo aliyejivisha vazi la uislamu.
Uislamu unahitajika Elimu , na huyo sio mtu wa kumsikiliza katika mambo ya dini.
Ina maana Mimi kitendo cha YESU KRISTO kuwa MFALME wangu ndo nakuwa nimekuwa nimekugawa au sijakuelewaHivi kwanini mnapenda sanaa mambo yanao tugawa ya dini leteni mada zingine zinazo tuunganisha.
Usilamu sio ugalatia ambao hauna misingi ya kielimu kiasi ambacho hata Scumbag like you na uchizi wako unaweza kushika Bible na kuusemea Ugalatia .Nini weweee
Wengi tulishajuwa toka zamani ni vile tu hatutaki kuyasemaAdmins. Naona mnaondoa hizi Videos ambazo zinazungumza kwa ushahidi na wala si kashfa wala matuzi. Leo admin uliyepo ni yupi ambaye hutaki ukweli? Hakuna matusi wala kashfa.
View attachment 3160236