Video : Sheikh Sule Majin wanafundishwa Uislamu Msikitini

Video : Sheikh Sule Majin wanafundishwa Uislamu Msikitini

Admins. Naona mnaondoa hizi Videos ambazo zinazungumza kwa ushahidi na wala si kashfa wala matuzi. Leo admin uliyepo ni yupi ambaye hutaki ukweli? Hakuna matusi wala kashfa.

View attachment 3160236

Tukianza kuposti kila kinacho ongewa na wanaojiita Manabii/ Mashehe/nk nk nk nafikiri tunaweza kutoka nje kabisa ya Dini. Muhimu kila mtu ASOME (SOMA, SOMA, SOMA kuepuka taarifa potofu!!! Hivyo naunga mkono kudelete hoja za hovyo hovyo zinazolenga dini yoyote huku majukwaani....

Kwa upande wa mada iliyo mezani;
Kwa upande wa Uislam; maana ya Uislam ni Kunyenyekea kwa Mungu mmoja, asiye na mshirika na asiyefanana na kitu chochote lakini pia kutii na kufuata mafundisho ya Quran yaliyofikishwa kwa binadamu kupitia kwa mitume wa Mungu.

Ukisikia habari yoyote juu ya Uislam unatakiwa uone kama ina reference yoyote ya Qurani au ya mafundisho ya mitume wa Mungu, tofauti na hapo, yaweza kuwa ni mawazo binafsi kutokana na uelewa wa mtu
 
Usilamu sio ugalatia ambao hauna misingi ya kielimu kiasi ambacho hata Scumbag like you na uchizi wako unaweza kushika Bible na kuusemea Ugalatia .

Uislamu hakuna kuzungumza Wala dini pasi na elimu , ndio maana jitu likileta uzushi linakamatwa kama Zombi.
Mkamateni Sheikh Sule
 
Tukianza kuposti kila kinacho ongewa na wanaojiita Manabii/ Mashehe/nk nk nk nafikiri tunaweza kutoka nje kabisa ya Dini. Muhimu kila mtu ASOME (SOMA, SOMA, SOMA kuepuka taarifa potofu!!! Hivyo naunga mkono kudelete hoja za hovyo hovyo zinazolenga dini yoyote huku majukwaani....

Kwa upande wa mada iliyo mezani;
Kwa upande wa Uislam; maana ya Uislam ni Kunyenyekea kwa Mungu mmoja, asiye na mshirika na asiyefanana na kitu chochote lakini pia kutii na kufuata mafundisho ya Quran yaliyofikishwa kwa binadamu kupitia kwa mitume wa Mungu.

Ukisikia habari yoyote juu ya Uislam unatakiwa uone kama ina reference yoyote ya Qurani au ya mafundisho ya mitume wa Mungu, tofauti na hapo, yaweza kuwa ni mawazo binafsi kutokana na uelewa wa mtu
 
Back
Top Bottom