hurrem_sultana
Senior Member
- Sep 6, 2018
- 136
- 361
Habari za wkend wakuu
Mda umefika wa mimi ku own kampuni yangu sasa,nimekaa nimejitahidi kuangalia ideas mbali mbali ila nikaona hii ya video shooting/editing itanifaa zaidi kwa sababu pia ina relate na fani yangu niliyosomea ya IT itakua rahis ku catchup vitu na kuindesha kwa ufasaha zaidi pia kitu kingine biashara hii unaweza ukaichanganya kwa pamoja na upigaji picha,utengenezaji wa mabango,logos,na vitu vinavyo relate na hvyo.nilikua na ideas mbili kichwani hii niliyoandika hapa na restaurant & fast food ila naona hii ikae pembeni kwanza ina risk nyingi kiasi.
Nimekujaa hapa wakuu naomba ABC za hii biashara ya video shooting,editing and picture taking.soko langu kubwa najua itakua maharusi,vipaimara,sendoffs, event mbali mbali n.k..nataka kujua mahitaji yote ya vitu na vifaa vinavyohitajika,nitawatafuta wataalam pia kujua zaid ila nataka nianzie hapa kujua abc za mambo haya
Asanteni sana
Mda umefika wa mimi ku own kampuni yangu sasa,nimekaa nimejitahidi kuangalia ideas mbali mbali ila nikaona hii ya video shooting/editing itanifaa zaidi kwa sababu pia ina relate na fani yangu niliyosomea ya IT itakua rahis ku catchup vitu na kuindesha kwa ufasaha zaidi pia kitu kingine biashara hii unaweza ukaichanganya kwa pamoja na upigaji picha,utengenezaji wa mabango,logos,na vitu vinavyo relate na hvyo.nilikua na ideas mbili kichwani hii niliyoandika hapa na restaurant & fast food ila naona hii ikae pembeni kwanza ina risk nyingi kiasi.
Nimekujaa hapa wakuu naomba ABC za hii biashara ya video shooting,editing and picture taking.soko langu kubwa najua itakua maharusi,vipaimara,sendoffs, event mbali mbali n.k..nataka kujua mahitaji yote ya vitu na vifaa vinavyohitajika,nitawatafuta wataalam pia kujua zaid ila nataka nianzie hapa kujua abc za mambo haya
Asanteni sana