Sasa usije kusahau na kuanza kupiga picha za Askari wa bongo nawe ukaziweka mitandaoni. Utatafutwa na kushughulikiwa vilivyo.US haya matukio wanayaficha Sana,ila mwisho wa siku social media zina waumbua matatizo haya ya polisi kuwa nyanyasa watu weusi na mauaji ya kibaguzi yapo kibao.Nawaona mara kibao akina Snoop,TI,Eddie Griffin,Mike Epps nk huwa wana ya post sana kwenye account zao.
Mjinga baba yako. Ungekuwaa na akili ungejua serikali ni watu na polisi ni sehemu ya hio serikali. Wewe kichwani uko sawa kabisa brainwashed idiot.Acha ujinga wewe kwani hilo tukio limefanywa na Serikali ya Marekani ??!!! Unashindwa kutofautisha Jambo linalofanywa na Serikali ya Marekani na Jambo kufanywa na mmarekani...
Hilo Jambo limefanywa na Askari wa kimarekani na ameshafukuzwa kazi for further steps ... Bongo mangapi yanafanywa na watu wapo kitaa ....
Acha kulinganisha United States na takataka utakuwa kichwani hauko sawa.
Unaelewa maana ya serikali wewe !!! Ulisomea shule ipi wewe kichaa !! Ukisikia serikali ya magufuli unadhani na wewe uko included !!! Unaelewa serikali ni Nini kweli wewe mlugaluga !????Mjinga baba yako. Ungekuwaa na akili ungejua serikali ni watu na polisi ni sehemu ya hio serikali. Wewe kichwani uko sawa kabisa brainwashed idiot.
Wale polisi nao wako selo ila ingekuwa bongo polisi wangetetewa hadi basiKuna jamaa wa Chadema wanakauli mbiu yao ya Mungu wabariki Wazungu
Daud MwangosiKuna jamaa wa Chadema wanakauli mbiu yao ya Mungu wabariki Wazungu
Acha ujinga wewe kwani hilo tukio limefanywa na Serikali ya Marekani ??!!! Unashindwa kutofautisha Jambo linalofanywa na Serikali ya Marekani na Jambo kufanywa na mmarekani...
Hilo Jambo limefanywa na Askari wa kimarekani na ameshafukuzwa kazi for further steps ... Bongo mangapi yanafanywa na watu wapo kitaa ....
Acha kulinganisha United States na takataka utakuwa kichwani hauko sawa.
Nilikuwa namjibu huyo mjinga hapo juuActually polisi wa Marekani huwa ni local. Hao polisi wanaotuhumiwa ni wa mji wa Minneapolis. Bosi wao ni meya wa mji wa Minneapolis na chief wa polisi wa mji huo.
Ndiyo, jambo limetokea Marekani. Lakini ni muhimu pia kuzingatia utofauti wa mifumo hapa.
Serikali kuu ya shirikisho [federal government] haihusiki kabisa hapo.
Labda inachoweza kufanya ni kuangalia kama civil rights za huyo marehemu zilikiukwa.
Zaidi ya hapo, hilo ni suala local tu.
Nilikuwa namjibu huyo mjinga hapo juu
Ubongo wako umejaa mavi bongo hapa askari anauwa mweusi mwenzake na mahakama zinamkingia kifua askari. Mijitu mingine bana yaani linalinganisha vitu haviendani kabisaKuna mtu humu anaitwa Erythrocyte hawa wamarekani wakitoa kauli zao kwa serikali yetu utamsikia eti mungu wabariki wamarekani. Huwa namsoma huyu mtu anavyowapapatikia wamarekani najua siasa zinamtoa akili. Haya ndio mambo ya kawaida wamarekani weupe wanafanyia watu weusi huko kwao halafu unajidanganya wanakupenda wewe mwafrika!
Lijinga Hilo achana naloUbongo wako umejaa mavi bongo hapa askari anauwa mweusi mwenzake na mahakama zinamkingia kifua askari. Mijitu mingine bana yaani linalinganisha vitu haviendani kabisa
Alafu wewe unaongea nini wewe. hivi kama hata angekuwa mzungu amefanywa hivyo wewe mtu mweusi usingepinga hilo tukio. hilo tukio ni haya sana kwa kufanyiwa binadam yoyote.
Nasikia wamewafukuza kazi tu!
Police brutality! Hard to watch. Notice the stream of urine and the cop has his hand in his pocket like he has just pinned down an animal. Imeniharibia siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Ingekuwa kitendo hiki kimefanywa na mwarabu ingenasibishwa na dini yake
Katika Nchi za kiafrika, kesi kama hizi hutokea na kesi huwa zinayeyuka hazifiki popote. Ni vyema pia ulinganishe yale yanayotokea hapa kwetuHii ni moja kati ya nchi za hovyo sana duniani, halafj kuna wanaharakati wabongo wanataka hii ndio hiwe mfano kwetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafi*wa,ms*g* mkubwa,hukustahili kuwasifia kwa chochote,kwa tukio Kama hili.Nyie ndiyo huwa mnaliwa mzigo na Mbwa wao kule CocoTuwe wakweli.
US askari akishafanya hivi atashtakiwa, kisha kutokana na ushahidi uliopo na sheria zao atahukumiwa mfano kesi ya Rodney King.
Nchi za Afrika askari akiua tarajia atakingiwa kifua na hata mahakamani asifike.
So in Us hakuna aliye juu ya sheria (ingredient muhimu ya demokrasia) kwa bara letu ni kinyume chake. Hivyo ni sawa tu kusema wapo mbele kutuzidi kidemokrasia.
Unaweza ukawa upo sahihi MKUU ila ishu nikwamba US haya matukio yapoyapo mnoo nahayajawahi kukomaTuwe wakweli.
US askari akishafanya hivi atashtakiwa, kisha kutokana na ushahidi uliopo na sheria zao atahukumiwa mfano kesi ya Rodney King.
Nchi za Afrika askari akiua tarajia atakingiwa kifua na hata mahakamani asifike.
So in Us hakuna aliye juu ya sheria (ingredient muhimu ya demokrasia) kwa bara letu ni kinyume chake. Hivyo ni sawa tu kusema wapo mbele kutuzidi kidemokrasia.