Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kwahio huu uliofanywa sio ukatili [emoji23][emoji23][emoji23] yaani US sijui wamewapa nini asee....Umeongea point ya maana sana! Watu wanaleta ushabiki as if wametumwa na serikali au wanatekeleza sheria! Ni wapuuzi hao askari na kitanzi watakula. Ingekuwa China na shitholes nyingine wala hata hizo habari zisinge-leak.
Bwana Utam na STRUGGLE MAN mnakumbuka yaliyotokea ubalozi wa Saudia binadamu kukatwakatwa vipande vya nyama? Kuna ukatili zaidi ya ule uliofanyika ndani ya afisi rasmi ya serikali?
kuua kutabakia kuua tu hatakama utatumia njia ipi.