The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Hii ilikuwa katika bunge la pili la Utawala wa Mwendazake mwaka 2017 (mwaka mmoja na nusu hivi baada ya Magufuli kuingia madarakani). Miezi michache baadaye mbele akapigwa risasi kadhaa ili afe. Hakufa.
Ukiitazama na kusikiliza madini kama haya toka kwa aliyekuwa mbunge wa jimbo la Singida Mashariki Tundu Lissu, unaweza kuelewa ni kwanini "kikuza sauti" cha "baraza kuu la wananchi" hampendi na bila aibu huonesha chuki za waziwazi kabisa kwa mtu huyu.
Unaweza kuelewa pia ni kwanini huyu ndugu alikuwa "sumu hatari" chini ya utawala wa Mwendazake kiasi cha mkakati hatari wa kum - eliminate mazima mwaka 2017 ukasukwa huku "kikuza sauti" cha chombo kile akitumika kisawasawa kufanikisha mpango huu mbaya kabisa.
Tazama na sikiliza mwenyewe halafu ukiweza, sema kitu.
Huyu jamaa alikuwa mleta taharuki sana kwenye kambi ya wapinzani wake CCM na serikali. Tazama picha vizuri utaona wafuasi Wa Mwendazake ndani ya jumba lile wanavyozungusha shingo kwa taharuki wasielewe jamaa kaujuaje uzembe na uongo wao.
Kwa kifupi kabisa tunaweza kusema HII NDIYO KAZI YA MBUNGE MAKINI.
Ukiitazama na kusikiliza madini kama haya toka kwa aliyekuwa mbunge wa jimbo la Singida Mashariki Tundu Lissu, unaweza kuelewa ni kwanini "kikuza sauti" cha "baraza kuu la wananchi" hampendi na bila aibu huonesha chuki za waziwazi kabisa kwa mtu huyu.
Unaweza kuelewa pia ni kwanini huyu ndugu alikuwa "sumu hatari" chini ya utawala wa Mwendazake kiasi cha mkakati hatari wa kum - eliminate mazima mwaka 2017 ukasukwa huku "kikuza sauti" cha chombo kile akitumika kisawasawa kufanikisha mpango huu mbaya kabisa.
Tazama na sikiliza mwenyewe halafu ukiweza, sema kitu.
Huyu jamaa alikuwa mleta taharuki sana kwenye kambi ya wapinzani wake CCM na serikali. Tazama picha vizuri utaona wafuasi Wa Mwendazake ndani ya jumba lile wanavyozungusha shingo kwa taharuki wasielewe jamaa kaujuaje uzembe na uongo wao.
Kwa kifupi kabisa tunaweza kusema HII NDIYO KAZI YA MBUNGE MAKINI.