Mzee Nyerere
JF-Expert Member
- Jun 24, 2024
- 219
- 279
Kafulila anaingiaje hapa?Naona Kafulila kazini
Wewe ndio Kafulila mwenyewe chawa promaxKafulila anaingiaje hapa?
Kafulila simjui zaidi ya kumwona kule X tu,Jielekeze kwenye madaWewe ndio Kafulila mwenyewe chawa promax
Nilvyosoma heading tu nikajua ni bandiko la kichaa au mtu anayeweza kumweka bond mwenza wake. Tujitahidi tabia za ndani zisiwe Public. Hata mtoto akisoma hili bandiko lako atajudge hana mzazi.Kafulila anaingiaje hapa?
Kabisa...lazima litakuwa LICHAWI hiliWe jamaa utakuwa ni mwanga.
Naona unamhofia na kumuogopa sana Mheshimiwa Kafulila mpaka muda wote unakuwa unaweweseka tu kama mgonjwaNaona Kafulila kazini
Wewe ni mvivu, mzembe unadhani Serikali itakuingizia hela mfukoni. Shughulika fursa zipo, ardhi ya Tanzania yenye rutuba (arable) inayolimwa ni chini ya 15%.Maisha mazuri ya watanzania????...
Watanzania gani hao unawazungumzia mkuu, mbona mimi ni mtanzania na sina maisha mazuri
Kwaiyo kila mwenye maisha magumu ni mvivu??Wewe ni mvivu, mzembe unadhani Serikali itakuingizia hela mfukoni. Shughulila fursa zipo, ardhi ya Tanzania yenye rutuba (arable) inayolimwa ni chini ya 15%.
Acha kujitoa akili mzeeKisa Cha migogoro isiyokwisha nchini Kenya ni wivu wa Maisha mazuri kwa Watanzania.
Sikiliza huyu Mkenya akitoa Siri,
#Mama Samia Mitano tena
View attachment 3029278
U
Unless wawe walemavu wa viungo au akili, ila kama Mungu amekupa mwili usio na kilema, na siyo kichaa, unakuwaje maskini Tanzania?Kwaiyo kila mwenye maisha magumu ni mvivu??