BEZO
JF-Expert Member
- Jul 15, 2023
- 1,770
- 4,449
Wewe ni Mchawi mwandamizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyeti ipo mkoa gani bossMwakani nagombea ubunge Jimbo Fulani nyeti 2025 jf support me
Ipo mkoa wa gauteng, Johannesburg. 😃😃😃😃😃Nyeti ipo mkoa gani boss
SimplisticKisa Cha migogoro isiyokwisha nchini Kenya ni wivu wa Maisha mazuri kwa Watanzania.
Sikiliza huyu Mkenya akitoa Siri,
#Mama Samia Mitano tena
View attachment 3029278
U
Hoja zao zilizojificha ndio hizi sasaUjinga mtupu.., wao wana hoja zao genuine kabisa
No Mimi si yeye Kafulila na Wala sijawahi ongea nae ila napenda hoja zake zinamashiko sanaWewe ndio Kafulila mwenyewe chawa promax
Msikilize tu vizuri huyo mkenyaKumbe wenzangu mnamaisha mazuri hatuyonyani. Tanzania ya Wapi huko nami nije?
Hii ni kweli kabisaKisa Cha migogoro isiyokwisha nchini Kenya ni wivu wa Maisha mazuri kwa Watanzania.
Sikiliza huyu Mkenya akitoa Siri,
#Mama Samia Mitano tena
View attachment 3029278
U
Fact must told, ameongea ukweli mtupu!Naona Kafulila kazini
Unavyoongea hivi utadhani ukoo wako wote wana nafuu pamoja na wewe kumbe ni Kiki za kwenye mitandao hizi huku ukiwa unakaangalia kapasso kako kama katafika Mjini..Tanzania inatambulika kama Nchi masikini ina maana Watanzania wote ni wavivu ila wewe pekee sio mvivu?Wewe ni mvivu, mzembe unadhani Serikali itakuingizia hela mfukoni. Shughulika fursa zipo, ardhi ya Tanzania yenye rutuba (arable) inayolimwa ni chini ya 15%.
Huu wako ni uzezetaWewe ndio Kafulila mwenyewe chawa promax
,,🤣🤣🤣Kisa Cha migogoro isiyokwisha nchini Kenya ni wivu wa Maisha mazuri kwa Watanzania.
Miongoni mwasababu za GEN Z kuandamana mpaka kupigwa risasi ni kutaka maisha ya Kenya yafanane na maisha ya Watanzania,
Je, sisi Tanzania tunajua haya?
Sikiliza huyu Mkenya akitoa Siri,
#Mama Samia Mitano tena
View attachment 3029278