FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Aidha u mvizu w kutupwa au una utaahira fulani.Maisha mazuri ya watanzania????...
Watanzania gani hao unawazungumzia mkuu, mbona mimi ni mtanzania na sina maisha mazuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aidha u mvizu w kutupwa au una utaahira fulani.Maisha mazuri ya watanzania????...
Watanzania gani hao unawazungumzia mkuu, mbona mimi ni mtanzania na sina maisha mazuri
Bro acha kufananisha kichaa na huyuNilvyosoma heading tu nikajua ni bandiko la kichaa au mtu anayeweza kumweka bond mwenza wake. Tujitahidi tabia za ndani zisiwe Public. Hata mtoto akisoma hili bandiko lako atajudge hana mzazi.
Ongeza juhudi. Achana na totoz.Maisha mazuri ya watanzania????...
Watanzania gani hao unawazungumzia mkuu, mbona mimi ni mtanzania na sina maisha mazuri
Tanzania maisha good sanaKisa Cha migogoro isiyokwisha nchini Kenya ni wivu wa Maisha mazuri kwa Watanzania.
Miongoni mwasababu za GEN Z kuandamana mpaka kupigwa risasi ni kutaka maisha ya Kenya yafanane na maisha ya Watanzania,
Je, sisi Tanzania tunajua haya?
Sikiliza huyu Mkenya akitoa Siri,
#Mama Samia Mitano tena
View attachment 3029278