(VIDEO) Songwe: Wanaochimba nguzo za umeme wakutana na masalia ya mwili wa mtu kwenye shimo


 
Duuh Damu ya mtu nzito Sana
Kama walimuua kinyemela basi na wakamzika kinyemela basi ishajulikana


Note; mwili wa binadamu unauwezo wa kukaa miaka zadi ya 3 chini ardhi ndiyo unaoza sasa huyo inaonesha aliuwawa muda mlefu sana
Unaweza kuta aliyeuwa nae alishakufa
 
Mbona mnakazana kua kauwawa, si ajabu alizikwa maana hicho kishimo ni kirefu.

Kuna watu hawajari makaburi ya wapendwa wao, matokeo yake zile alama kua hili ni kaburi huwa zinapotea kabisa na kubaki kama shamba tu.

Huenda hapo palikua ni kaburi la huyo mti ila lilitelekezwa na labda shamba likauzwa na kuuziana mpka tanesco wakalikuta.
 
Duuh Damu ya mtu nzito Sana
Kama walimuua kinyemela basi na wakamzika kinyemela basi ishajulikana


Note; mwili wa binadamu unauwezo wa kukaa miaka zadi ya 3 chini ardhi ndiyo unaoza sasa huyo inaonesha aliuwawa muda mlefu sana
Ikibidi wakazi wa mkoa huo wenye historia ya kupotea kwa ndugu zao wa kike waombe hivyo viungo wakafanye DNA test wafanye matanga ya ndugu yao.

Inawezekana wapo watu wanamsubiri ndugu yao atarudi alienda kutafuta maisha kumbe alishakuwa marehemu kitambo.
 
Duh kazi kweli isje kuwa nao wamechimba kaburii...[emoji848][emoji2955][emoji2955]
 
Hapo ndipo Mungu anapoonyesha uwezo wake
Binadamu tumekuwa katili Sana
Yaani ukute Chanzo pesa au Mapenzi
 
Kwanza wamekosea sana kuchukua hayo masalia ya mwili wangeuacha hapo then police wake waweke utepe wachukue mwili wote uliobaki wapeleke kwenye forensic investigation wachukue DNA halafu mwili uhifadhiwe pahala then itangazwe watafutwe ndugu ambao wataweza kutambua hizo bangili na wapimwe DNA kwa ndugu wanaoclaim kwamba ndugu yao aliwahi kupotea hawakujua amekufa au mzima.

Then baada ya hapo file la upelelezi wa kifo lifunguliwe na upelelezi uanze maana itajulikana tu Mara ya mwisho alikuwa na nani especially huko vijijini ni easy wanajuana.

Huu uzembe mkubwa sana kwa police
 
Ndo maana wafanya kazi wa tanesco akili hawana.
Kila siku wanachimba makaburi na kuzika nguzo.
Kuna kazi zinalaana
 
Duuh Damu ya mtu nzito Sana
Kama walimuua kinyemela basi na wakamzika kinyemela basi ishajulikana


Note; mwili wa binadamu unauwezo wa kukaa miaka zadi ya 3 chini ardhi ndiyo unaoza sasa huyo inaonesha aliuwawa muda mlefu sana
Unadhani wahalifu watakamatwa!!??
Pengine nao walishadedi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…