upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
Steve Nyerere na misiba ni damudamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha nini hapo boss?[emoji2]Ndiyo huyo Muna anaesumbua watu!!!. konseksheni zetu wanaume sometimes sijui huwa zikoje!!!?
hahaaaa, ni Steve alikuwa anajaribu kuongea kiingereza kwenye hiyo clip. sijui alikuwa anamaanisha nini?Unamaanisha nini hapo boss?[emoji2]
Brother with all due respect usilishwe sumu za kitoto, wengi hawamjui Steve hata mimi binafsi nakiri sikumjuwa hapo kabla lakini kwa sasa namjuwa kiasi huyu jamaa, kwa kifupi Steve an potential kubwa na connection ndefu kuliko wengi mnavyoaminishwa kutokana na chuki binafsi za mitandaoni.Huyo Stive Nyerere bila misiba hawezi kuishi mjini
Ni blogs reporters na siyo Journalist.Siku hizi " kuongea na waandishi wa habari" imekuwa rahisi sana!!
[emoji23][emoji23][emoji23]hahaaaa, ni Steve alikuwa anajaribu kuongea kiingereza kwenye hiyo clip. sijui alikuwa anamaanisha nini?
Michango inahusiana vipi?waliomchangia huyu dada kipindi cha shida wanapaswa kuona aibu kwa sasa
mkorogoHuyu Muna mbona mweusi hivi na yule wa Insta ni mweupe kama mwarabu?
Naaam nikweli " kuhusu suala la connection Hakuna msanii anayeufikia uwezo WA steve hapa tz" hata marehemu kanumba mwenyewe" alikuwa anasandaBrother with all due respect usilishwe sumu za kitoto, wengi hawamjui Steve hata mimi binafsi nakiri sikumjuwa hapo kabla lakini kwa sasa namjuwa kiasi huyu jamaa, kwa kifupi Steve an potential kubwa na connection ndefu kuliko wengi mnavyoaminishwa kutokana na chuki binafsi za mitandaoni.
Steve ni bonge la mjanja hapa town na ana connection ndefu trust my words. Kila mtu anayejitambuwa angependa kuwa na connection kama za huyu chalii.
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe, wanaompiga madongo ukiwatathmini tu hata kwenye familia zao hawaamini kwa jambo lolote kulisimamia au kukabidhiwa millioni moja tu wasimamie jambo fulani.
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, Steve anaingia ofisini kwa mama Samia kama wewe unavyokwenda sokoni au chooni tu, weka hili akilini mwako kabla hujalishwa ujinga na wana Darisalama wenzangu.