Umesahau kile kituo kilivamiwa kwa sababu hakipo kisheri lakini ccm mwaka huu wamekizinduaMkuu kwanini chadema huwa wasahaulifu hivi? 2015 Lowassa alikuja na mwizi maarufu wa kura kutoka CCM jina lake Chizi kwa ajili ya kupambana na mbinu za wizi na bado kura za UKAWA "zikaibiwa". Kuwaambia wapiga kura wako kuwa kura "zitaibiwa" ubongo wa mwanadamu unatafsiri kama "usipige kura maana zitaibiwa"
Tumieni watu waliosoma saikolojia kama CCM na sio wale Hip Hop tu!
mbona ipo mkuu , angalia device yakoVideo imekuwa disabled kwa nn????
Atulie tu kama Jina lakeKwa dimension hii kwanini Tulia asitulie tu kama jina lake?
Nimechekaaa ki-nambariwani[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuapisha...au kula yamini....tehtehteh
Mbunge Wa CDM Mbeya Mjini ndio mbunge mzigo bora hata BwegeSawa awaapishe wamlindie ugali wake aongeze hoteli nyingine wao wabakie hoi.
Achaneni na chadema chagueni CCM mean maendeleo ya uhakika na sio blah blah kama hizi za kupeana majukumu ambayo kimsingi yanatakiwa kufanywa na taasisi zinazotambulika kisheria.
Sawa awaapishe wamlindie ugali wake aongeze hoteli nyingine wao wabakie hoi.
Achaneni na chadema chagueni CCM mean maendeleo ya uhakika na sio blah blah kama hizi za kupeana majukumu ambayo kimsingi yanatakiwa kufanywa na taasisi zinazotambulika kisheria.
Mbona buseresere alikutana na mabango hapo hamsemi?Huyu ndiye Rais wa Mbeya. Kila mtu atawale eneo lake... Kuna mtu anapaswa abakie Chato tu. Maana hata mji jirani wa Katoro wanamtaka Lisu.
Riziki ya mtu ipo kwa mtu. Wakikosekana wajinga kwenye jamii wale wenye akili hawatakuwa na wa kuzitambua na kuziheshimu akili zao.Mkuu kwanini chadema huwa wasahaulifu hivi? 2015 Lowassa alikuja na mwizi maarufu wa kura kutoka CCM jina lake Chizi kwa ajili ya kupambana na mbinu za wizi na bado kura za UKAWA "zikaibiwa". Kuwaambia wapiga kura wako kuwa kura "zitaibiwa" ubongo wa mwanadamu unatafsiri kama "usipige kura maana zitaibiwa"
Tumieni watu waliosoma saikolojia kama CCM na sio wale Hip Hop tu!
Wewe kazee si bure kachawi mambo ya yamini ni yakizamani kuchanjana siku hizi kuna ukimwiKuapisha...au kula yamini....tehtehteh
Mabango yaliwndaliwa na mamluki wa Polepole. Kule Kagera na Busanda ndiyo ilikuwa original wananchi hawamtaki jiweMbona buseresere alikutana na mabango hapo hamsemi?
Utashangaa siku ya 28 jiwe atakavyopasua ndo hutaamini hayo maeneo kuwa ulipofuka kuona na kusikia.Mabango yaliwndaliwa na mamluki wa Polepole. Kule Kagera na Busanda ndiyo ilikuwa original wananchi hawamtaki jiwe
Unajua unaongea na nani? Ninajua nachokiongea mm. Sifurahishi genge hapa. Facts and figures never lie.Utashangaa siku ya 28 jiwe atakavyopasua ndo hutaamini hayo maeneo kuwa ulipofuka kuona na kusikia.