Video TBT: Tujikumbushe jinsi Tundu Lissu alivyomkaanga Balozi Masilingi live akiwa studio za BBC. Masilingi yuko wapi siku hizi?

Video TBT: Tujikumbushe jinsi Tundu Lissu alivyomkaanga Balozi Masilingi live akiwa studio za BBC. Masilingi yuko wapi siku hizi?

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Nimekutana na interview hii ya Tundu Lissu BBC akiongelewa tukio lake la kupigwa risasi.

Kitu interesting kuhusu hii interview ni namna ambavyo Masilingi alishindwa kupambana na hoja za Tundu Lissu.

Masilingi alikuwa mpole kama piritoni kwenye hii interview baada ya kupigwa spana za kutosha na Lissu.

Nilichojifunza, Lissu sio wa kubishana nae haswa mkiwa kwenye hadhara. Naanza kuelewa kwanini Mbowe alikwepa mdahalo na Lissu wakati wanapambana kupata nafasi ya Uenyekiti CHADEMA

Nje ya mada:

Siku hizi huyu baba Masilingi yuko wapi? Au kaachana na mambo ya siasa na diplomasia?

 
Wakuu,

Nimekutana na interview hii ya Tundu Lissu BBC akiongelewa tukio lake la kupigwa risasi.

Kitu interesting kuhusu hii interview ni namna ambavyo Masilingi alishindwa kupambana na hoja za Tundu Lissu.

Masilingi alikuwa mpole kama piritoni kwenye hii interview baada ya kupigwa spana za kutosha na Lissu.

Nilichojifunza, Lissu sio wa kubishana nae haswa mkiwa kwenye hadhara. Naanza kuelewa kwanini Mbowe alikwepa mdahalo na Lissu wakati wanapambana kupata nafasi ya Uenyekiti CHADEMA

Nje ya mada:

Siku hizi huyu baba Masilingi yuko wapi? Au kaachana na mambo ya siasa na diplomasia?

Lisu mtu wa kusimama nae labda Warioba na bahati mbaya zaidi Warioba ni mwadilifu Kama Lisu hata wakikutana wataishia kucheka tu maana akili zao zinawaza haki
 
Lisu mtu wa kusimama nae labda Warioba na bahati mbaya zaidi Warioba ni mwadilifu Kama Lisu hata wakikutana wataishia kucheka tu maana akili zao zinawaza haki
Ndugu Siri yangu , Mungu akubariki sana.
Sentesi chache umeandika ila moyo wangu umefurahi kwa kuona unaongelea haki na uadilifu.

Lissu kwa kupenda haki na uadilifu, pamoja na yeye binafsi kuwa muadilifu na mwenye haki, hakika atatuvusha kama Taifa.
 
Ndugu Siri yangu , Mungu akubariki sana.
Sentesi chache umeandika ila moyo wangu umefurahi kwa kuona unaongelea haki na uadilifu.

Lissu kwa kupenda haki na uadilifu, pamoja na yeye binafsi kuwa muadilifu na mwenye haki, hakika atatuvusha kama Taifa.
Ameen Ameen Haki Huinua Taifa
 
Back
Top Bottom