Video: Thousands of Police being Transported to Nyanza Kericho Kisumu highway

Sasa jipendekeze wakutie kilema,then uone utalishwa na nani.Kama utaki kupiga kura kaa ndani
 
Akijua wazi wapu hawezi shinda?? Nani amekuambia hawezi?
 
Reactions: Oii
kama utapiga kura hiyo n haki yko,wengine watapiga n maisha itaendelea.
 

mzee wa kitendawili ndo mwisho wake kisiasa.
 
You are the people who ruin this country.It cannot be that if one man says he won't take part in an election then the whole country and a whole exercise grinds to a halt.A COUNTRY IS BIGGER THAN ONE MAN ...least of all a man with a biased ,self interested outlook on a nation's destiny.
 
Hapana MK254. Sidhani upinzani wa JF ufike huko kufurahia maanguko ya Kenya. Usikate tamaa hivyo. Jipe moyo hayo yatapita muombe Mungu sana.

Tunamwomba Mungu, lakini kwa hali ilivyo lazima tarehe 26 nchi itafanya maamuzi ya aidha tuendelee na hizi siasa za malumbano miaka yote au tufikie hatua ya kubadilisha mitazamo.
 
Facts please, demographics are important for a good reference supporting Raila's win.
Mnaongea nikama sio nyinyi mumekuwa mkinyima wajaluo na wasomali IDs

Sio nyinyi mumekuwa mkitumia ma chief kununua IDs za watu maskini malindi na western!!...aargh!!!

Population growth western Kenya is double Central

There are 13mn Luhyas
There are 9mn Luos
6mn kisiis
About 1.2mn masais
Hatujaenda wamijikenda, wakamba, wataita ambao wana occupy eastern na coast provinces !!!....central juzi tumeona chokora underage na IDs what are you saying demography..when news has it that population is declining in central
 
Damn shit 13m luhyas,9mluos where is the source my friend?wat abt kikuyus and are majourity in kenya,kales merus and not all tribe of kisii is supporting Nasa.Plus northestern 3 quarter is jubilee
 
Armageddon, bloodbath,bloody confrontation, I fear for Kenya.
 
Dah! Hii hatari kwa kweli, haya Kenya kinaelekea kuiva, njooni wale huwa mnashabikia na kuomba Kenya ianguke, fursa yenu ya kupata raha ndio hii hapa.
Great thinker can't talk like that...
 
Nampenda uhuru....ila huu upumbagu anao ufanya sikubaliani nae....kama anajua atashinda figisu na jubilee yake ni ya nini. Just allow free and fair election uhuru, otherwise you are stupid like other african leaders.!!!!
kosa nadhan sio la uhuru na jubilee yake bali ni wale ambao hawataki kwenda mahakamani kuipinga iebc........

nasa walipoenda mahakamani, wakapata ushindi, matokeo yakafutwa! saiz kinachowazuia kwenda court kuikataa iebc ni nn mpk waamue kuandamana?? mbona kwenye matokeo hawakufanya hivo??.........
 
MK254 na Sammuel999 naomba mnisaidie ni nini hasa kimewazuia NASA wasiende mahakamani kuizuia iebc isiandae uchaguzi???..........

kwann hizo reforms waliitumie mahakama kulazimisha tume itii? kwann maandamano? hakuna option nyingine zaid ya kuandamana??? hawana imani na mahakama tena??.... hebu wakenya tusaidieni
 
We are not talking about population... Just go through the registered voters... The fact is Uhuru starts with a basket of 7m from his strongholds. He only needs around 30% from maasai land,kisii,coast,north eastern etc.Raila stands no chance to beat Uhuru it's not rocket science and NASA know that that's why we are being treated to a political circus to prevent the elections from happening, in their minds we will have a constitutional crisis
 
Facts please, demographics are important for a good reference supporting Raila's win.

Raila has strong support in only two areas where people have also died due to demos, namely Kibra a slum suburb of Nairobi created by Mzee wa Kitendawili during his 20 year of Member of parliament for the area and Nyanza his place of origin. The rest of the country is peaceful.
 
Wataenda mahakamani on what basis na supreme court yenyewe ilisema haijampata mfanyikazi yeyote wa iebc na makosa....siasa za NASA wanazijua wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…