Video: Thousands of Police being Transported to Nyanza Kericho Kisumu highway


Wewe endelea kujifariji na hayo mapishi ya IEBC, mbegu ya ukabila mliyopanda haitaacha kuwatafuna.
 
Dah! Hii hatari kwa kweli, haya Kenya kinaelekea kuiva, njooni wale huwa mnashabikia na kuomba Kenya ianguke, fursa yenu ya kupata raha ndio hii hapa.
Ikianguka kenya tutakuja kuokota magari na tv? Kama kuna mgodi wa dhahabu sawa tutakuja kupiga ukwale.
 
Nampenda uhuru....ila huu upumbagu anao ufanya sikubaliani nae....kama anajua atashinda figisu na jubilee yake ni ya nini. Just allow free and fair election uhuru, otherwise you are stupid like other african leaders.!!!!
Amefanya figisu gani?
 

Which road heading to Kisumu, or western has 6 lanes?
Wasn't it shujaa day yesterday where armed forces does parades?
 
Dah! Hii hatari kwa kweli, haya Kenya kinaelekea kuiva, njooni wale huwa mnashabikia na kuomba Kenya ianguke, fursa yenu ya kupata raha ndio hii hapa.
Mkuu achilia mbali udugu, hatuwezi kufurahia hata kidogo nyie kushika mapanga na kuchinjana in an uncivilized way. Kwanza suala la wakimbizi litatuathiri sana. Niamini, hata sasa hivi kuna wakenya wengi sana wanaoishi Arusha na Kilimanjaro, side to side na watanzania bila kubaguliwa.
 
Jaluo Bwana tabu tupu. kazi kupenda misifa na wanawake. Uongozi hamuwezi !
 
Jaluo Bwana tabu tupu. kazi kupenda misifa na wanawake. Uongozi hamuwezi !
Am not Jaluo....am not even Nilote


Not all kenyans are tribalist!!

Some of us actually support someone because of their Agenda

All 42/45 tribes of Kenya support someone because of their Agenda ispokua

Jaluos
Kikuyus
And Kalenjins


Even Kambas are in between parties !!!.
Not everyone is tribal...only 3 tribes will fight if it comes to it in the next elections not all Kenyans idiot


Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
So wewe ndio hufanya census? and what is the population of other tribes?
 
Embus? Merus? I thought they were pro Jubilee
 
Wewe endelea kujifariji na hayo mapishi ya IEBC, mbegu ya ukabila mliyopanda haitaacha kuwatafuna.

Unataka kulazimisha uongo kuwa ukweli ili chuki yako dhidi ya Kenya iwe justified?
 
Dah! Hii hatari kwa kweli, haya Kenya kinaelekea kuiva, njooni wale huwa mnashabikia na kuomba Kenya ianguke, fursa yenu ya kupata raha ndio hii hapa.
Ongea mambo yenye kujenga. nani afurahie kifo cha mwingine?? Kenya is our true brother and partner. Kenya ikiharibika kama Somalia, sisi kama majirani hatutakuwa salama. itakuwa usharoba wa alshababu. watakuwa wakipitia hapo kuja kwenye nchi zetu. kama vile wahamiaji haramu na magaidi wanavotumia Libya kama usharoba wa kuingia ulaya. hawakujua ya kuwa Libya ilikuwa bafa zone ya ulaya. it was acting like a cushion or separator btn magaidi/wahamiaji haramu na ulaya. likewise Kenya iko kama Libya kwetu. hivyo haturahii Kenya kuharibika kwa sababu hiyo hapo juu.
 
Raila anawatakia nini Wakenya? Haki mkichinjana safari hii kwa sababu ya Raila kama 2007 basi hakikisheni na Raila anakuwa mstari wa mbele sio mnachinjana yeye yupo Chato anakunywa kahawa

Ila Mungu aepushie mbali hilo jinamizi linalo wanyemelea majirani zetu Wakenya
 

Hujui usemalo zaidi ya kuleta utoto hapa.
 
Dah! Hii hatari kwa kweli, haya Kenya kinaelekea kuiva, njooni wale huwa mnashabikia na kuomba Kenya ianguke, fursa yenu ya kupata raha ndio hii hapa.
Bro, utani wa jadi tuweke pembeni.. tunataka sana Kenya kuwe na amani maana hasara za nyie kukosa amani ni kubwa kuliko faida.
 
Bora wachinjane ili tuone IQ wanazotamba kumiliki. Ni wajinga tu wanao chinjana lakini Intelligent being hawafiki huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…