Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati nzuri nchi hii inanuka matatizo makubwa kila Kona.
Fomu za NOTIFICATIONS hawataki kuzitumia kabisa
Niko zangu hapa nchi ambayo hamna rushwa hata mimi mmatumbi mweusiii tii kama avatar yangu inavyoonesha nina haki nikibaguliwa nina haki ya kufidiwa. Ngoja niamke niende zangu hapo McDonald's nifakamie big mac na vanilla milk shake.
Ndo maana moshi/Kilimanjaro tunataka kujitenga na kuwa taifa linalojitegemea. Huu upuuz kamwe hautakuwepo.Bahati nzuri nchi hii inanuka matatizo makubwa kila Kona.
Kila mmoja ataumizwa kwa wakati wake.
Wakati mwingine anaumizwa wengine wanaona haiwahusu.
Sulubika utaabike.
Watu Wana targrt ya mapato.
Usitegemee ukawa hauna kosa.
Baki huko mkuu, ukirudi huku uwe umejikamilisha unaishi tu.Niko zangu hapa nchi ambayo hamna rushwa hata mimi mmatumbi mweusiii tii kama avatar yangu inavyoonesha nina haki nikibaguliwa nina haki ya kufidiwa. Ngoja niamke niende zangu hapo McDonald's nifakamie big mac na vanilla milk shake.
Kwahiyo mmasubiri nini??Ndo maana moshi/Kilimanjaro tunataka kujitenga na kuwa taifa linalojitegemea. Huu upuuz kamwe hautakuwepo.
Accumen Mo