VIDEO: Trafiki wanavyolazimisha faini hata makosa ya kuelekezwa

VIDEO: Trafiki wanavyolazimisha faini hata makosa ya kuelekezwa

Askari wa barabarani ni wanakera sana. Kuna makosa mengine ni ya kuelekezana tu, ila wao wanakimbilia kwenye faini au kukutengenezea mazingira ya kutoa rushwa.

Binafsi nisipowaona barabarani wakati nikiwa safarini, huwa ninafarijika sana.
Watu wamepewa target ya Mapato.

Unataka Nani alipe?

Chagua mwenyewe, rushwa ya elfu 5 au 10 au uandikiwe ukalipe fine ya elfu 30 mbele kwa mbele na ukichelewa kulipa Ina riba
 
Dereva sijui ni wa Dar?? Muoga sana, anaondoka ndio anaanza kulalamika.
Mimi hadi uniandikie faini utakesha
Kakazana wee mama,wee mama,fala sana,jamaa limemlima faini likasepa likimtakia kazi njema.

Huyu dereva ni fala anaonekana alijiandaa kumpa hongo huyo dereva akirekodi tukio, afande machale yakamcheza [emoji23]

Kuthibitisha hilo kwamba walijipanga kumkamatisha angalia video clip ilivyochukuliwa kwa umakini mkubwa sana (HD)
 
Kakazana wee mama,wee mama,fala sana,jamaa limemlima faini likasepa likimtakia kazi njema...
Sijaona kosa la traffic hapo, tena hawa jamaa nawaweza sana, wepesi mnoo huwa natoboa hata mikoa 3 bila kulipo hongo, wajulie tu
 
 
Hii ndio bongo sasa ,tunaishi kama jehanamu na jehanamu original mayo inatusubiri
 
Back
Top Bottom