Tunasubiri referendumKwahiyo mmasubiri nini??
Nini kinawakwamisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunasubiri referendumKwahiyo mmasubiri nini??
Nini kinawakwamisha?
Unasubiri kutoka kwa Nani?Tunasubiri referendum
Kazi ya tafiki si kufundisha sheria za barabarani, kazi yao ni kuhakikisha unazitekeleza kwani chuo kilichokufundisha walimaliziana nawe.
Mnautajiri gani wa kujiendesha kwa mkoa masikini Kama ule nje ya kuibia mikoa mingine hamna kituNdo maana moshi/Kilimanjaro tunataka kujitenga na kuwa taifa linalojitegemea. Huu upuuz kamwe hautakuwepo.
Accumen Mo
Tulia weweeMnautajiri gani wa kujiendesha kwa mkoa masikini Kama ule nje ya kuibia mikoa mingine hamna kitu
Jitengeni tuwatoze vibali vya kutoka moshiTulia wewee
Anasema alishaandikiwa kwa kosa hilo katika safari hiyohiyo, Sasa anaandikiwaje tena kwa siku hiyohiyo? Humo porini kuna maduka hata akanunua reflector?U
Huna reflector lipa fine, full stop.
Hapa nakoishi uwezi kuona skari sio wa barabara au police wa kawaida, labda ufanye kosa kubwa kama kupiga mikelele mtaani, watakuja kama nyuki,hapa fine ni kwenye highway ukitembea zaidi ya 120ph ukipita camera ya kwanza watakusikilizia kupiti ya pili wanakusikilizia ya tatu lazima ulambe cheti ukifika nyumbani utakikuta cheti chako kinakuonyesha full picha yako na gari lako, lazima utalipa ukiletaubishi mambo yanakuwa mengi watanza kukagua Lesen yako watataka kujua unaishi huku kwa mpango gani utaibua mambo mengi.Niko zangu hapa nchi ambayo hamna rushwa hata mimi mmatumbi mweusiii tii kama avatar yangu inavyoonesha nina haki nikibaguliwa nina haki ya kufidiwa. Ngoja niamke niende zangu hapo McDonald's nifakamie big mac na vanilla milk shake.
Mtaingia moshi na Visa nyinyi subirini tu muone.Jitengeni tuwatoze vibali vya kutoka moshi
Umesikiliza clip? Askari gani mjinga hawezi hata kujibu hoja za dreva.Jitahidi kufuata sheria za barabarani. Wakikuandikia unaweza ku-appeal kituoni unapoendelea na safari. Ukishindwa toa rushwa uendelee na safari.
Unasubiri kutoka kwa Nani?
Jana nimeona Clip yako mtandaoni ukihojiwa Ulaya👇👇👇
Kufanya nini mseeMtaingia moshi na Visa nyinyi subirini tu muone.
Reflector ni 10000 ni bora kununua kuliko kulipa 60000U
Huna reflector lipa fine, full stop.
Huu zushi wa police wa kimbongo kukakaa barabarani utaisha mkijenga highway 🛣 police awezi kaa kwenye highway.
Tuje kufanya nini huko hakuna kitu. Hata warembo wenyewe sura nzuri lakini miguu kama spokuMtaingia moshi na Visa nyinyi subirini tu muone.
WivuuuuTuje kufanya nini huko hakuna kitu. Hata warembo wenyewe sura nzuri lakini miguu kama spoku
Blah blah blah blah, eti unaweza ku appeal!,mkuu inaonekana unaishi kule Unango, #vunja na jenga upya jeshi la police Tanzania, ondoa neno FORCE na weka neno SERVICEJitahidi kufuata sheria za barabarani. Wakikuandikia unaweza ku-appeal kituoni unapoendelea na safari. Ukishindwa toa rushwa uendelee na safari.