Watu wamepewa target ya Mapato.Askari wa barabarani ni wanakera sana. Kuna makosa mengine ni ya kuelekezana tu, ila wao wanakimbilia kwenye faini au kukutengenezea mazingira ya kutoa rushwa.
Binafsi nisipowaona barabarani wakati nikiwa safarini, huwa ninafarijika sana.
Dereva sijui ni wa Dar?? Muoga sana, anaondoka ndio anaanza kulalamika.
Kakazana wee mama,wee mama,fala sana,jamaa limemlima faini likasepa likimtakia kazi njema.Dereva sijui ni wa Dar?? Muoga sana, anaondoka ndio anaanza kulalamika.
Mimi hadi uniandikie faini utakesha
Sijaona kosa la traffic hapo, tena hawa jamaa nawaweza sana, wepesi mnoo huwa natoboa hata mikoa 3 bila kulipo hongo, wajulie tuKakazana wee mama,wee mama,fala sana,jamaa limemlima faini likasepa likimtakia kazi njema...
Vijisent vya kubrush viatu!!
Wrong overtake😭😭😭😭