Wewe umejuaji kama ni haki au sio haki kabla kesi haijasikilizwa?Kwa ivo anachotendewa ni haki??
Au mmlishirikiana naye kufanya hayo yalopelekea kukamatwa? So Una details!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umejuaji kama ni haki au sio haki kabla kesi haijasikilizwa?Kwa ivo anachotendewa ni haki??
Ndo maana shauri liko Mahakamani,tusubiri Mahakama itaamua vipiUzandiki kivipi na alitakatishaje fedha na uchafu wa hizo fedha alizotakatisha unatokana na nini?
Umeelewa kinachojadiliwa lakini...?Ndo maana shauri liko Mahakamani,tusubiri Mahakama itaamua vipi
Sasa wewe ndiyo umendika nini hiki. Umeelewa kinachojadiliwa? Kama Ushahidi haujakamilika ni kwa nini walimkamata?Wewe umejuaji kama ni haki au sio haki kabla kesi haijasikilizwa?
Au mmlishirikiana naye kufanya hayo yalopelekea kukamatwa? So Una details!!
Yule Binti yako aliyepotea umempata Mkuu? Kwa akili ya namna hii, acha tu wahuni WAMTAFUNE KISAWA SAWA huko aliko hadi akili za kiCCM zikutoke kwanza.Huyu jamaa tukiacha unafiki alimtukana sana Magufuli, mbaya alikuwa anatumia gazeti na maadui zetu wazungu... Tena aombe sana Mungu bado yupo hai, anajua Jamal Khashogy alicho fanyiwa baada ya kuichafua nchi yake na kukimbilia Marekani?
Sent using Jamii Forums mobile app