KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Nimekusoma vilivyo, au sio?Daah Mkuu umepuyanga Sana
Hebu angalao mara moja moja uwe mkweli!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekusoma vilivyo, au sio?Daah Mkuu umepuyanga Sana
Kwasasa ppo vizuri,kila mtu na godoro lake,magazeti ,tv kama una mpunga unaagiza chakula unachotaka,nilienda jela mwaka jana,nimetumikia miezi 6.Magereza siyo pazuri
Kwa nini nipate tabu, kwani ni mimi nilimbambikizia kesi?Utapata taabu sana, huyu hatoki yaani..
Woga wake tu, mbona watu kibao wanaenda gerezani na wako poa tu. Hata kalasinga Seth saa huu kashazoea itakuwa huyo Kabendera? Hapo sana sana anamfurahisha aliyeagiza awekwe ndani. Yeye ni mwanaume asiwe slack.
The question is, IS THIS THE REALITY OF TODAYS TANZANIA??? and the answer is a RESOUNDING YES. ni takika mataifa masikini na yanayoongozwa na dakikteta ambao hawakuenda shule wala hawana utu kaa magufuli ambayo ndio inakataa ukweli, na usiseme hatpoki mpaka magufuli atoke madarakani hakuna ajuae kesho, huenda magufuli kesho hii inayokuja asiwe hai, na ninaona kina pascal ambao ndio wahusika wakuu wakilike hii majibu yako, Siku za akina pascal ZIMEHESABIWA, TAKE THAT TO THE BANKIngekuwa nchi nyingine hadi mda huu ungekuta walisha mpasua ubongo, hawa ndiyo wanao chochea vurungu na mwisho yanatokea machafuko
Huyu hatoki Leo wala kesho huko jela. Na bado watamzungusha na kesi yake hadi Magufuli atoke madarakaniView attachment 1322175View attachment 1322176View attachment 1322177View attachment 1322178View attachment 1322179
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante tazama hapa kwa youtube vile mossad wa israel waliwawida hao watu wa hitler na kuwaua moja kwa moja, wengine waliuawa huko latin america, siku yaja tuAchana na hao wapumbavu...watetezi wa Adolf Hitler walikuwa zaidi ya takataka hizi unazozishuhudia humu ndani lakini siku ya siku ilipofika kila moja wao alitafuta nchi ya kukimbilia kujificha. Na hata huko walikokimbilia hawakuweza kubaki salama, waliwindwa kama nguchiro na moja moja waliendelea kukamatwa hadi wakiwa wazee hawajiwezi.
bado sijaona matusi.
Sio woga ni mawazo kufiwa na mzazi wake na yeye yupo jela ipo siku nawe utakuwa ndani na utakuja kufiwa na mpendwa wako tutakuona
Sent using Jamii Forums mobile app
Wangeandamana uchi wazazi wako waliokupeleka shule, ukawaona wajinga, ukakimbia umande.. Sasa maisha yanakupiga, unakalia kuwachukia hard working people wanaofanikiwa. Sio kila wanaofanikiwa wameiba!Dogo ungebahatika kujua nchi ilivyoliwa na inavyoliwa na hao wahuni unaoawaita vjongozi, nadhani ungeandamana uchi,
Hizo buku 7 unalipwa mwenyewe unaona umeyapatia maisha enhe!
Wanaoiba ni wale wanaompiga mikwara mbuzi CAG Assad ili wizi wao usijulikane.Unadhani hizo hela za misaada zinatoka kwenye mifuko yao au ni hela zenu wanawaibia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kumteka peke yake tu pia kuzusha kuwa sio raia.Kulikuwa na haja gani ya kumteka?, hilo si no swala LA TRA kumpelekea bill ya kodi kabla ya kumshitaki,
Mbiona hata kosa lenyewe limekuwa la kutafuta na tochi kwenye mavumbi ?, hamuoni kama kama tuhuma hizo ni za kupika ?, ushahidi haujakamilika !!, machozi ya mama yake yaweza kudhuru mtuMnamuonea pasko jamani. Kabendela ameisnichi nchi acha sheria ichukue mkondo wake alichofanya ni kuhujumu maendeleo. Kama hana kosa sheria itamuachia.
Wazungu hawa hawa wanaochangia bajeti katika nchi yetu Leo ni maadui zetu? Wazungu hawa hawa ambao serikali ya CCM inaingia nao mikataba mibovu ili wahamishe rasilimali zetu Leo hii tena wameshakuwa maadui?Huyu jamaa tukiacha unafiki alimtukana sana Magufuli, mbaya alikuwa anatumia gazeti na maadui zetu wazungu... Tena aombe sana Mungu bado yupo hai, anajua Jamal Khashogy alicho fanyiwa baada ya kuichafua nchi yake na kukimbilia Marekani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mashtaka yanayomkabili yanahusu maandiko au utakatishaji fedha?Ninapenda kutumia wasaa huu kumuombea msamaha kijana Erik Kabendera kwa wote wenye mamlaka ya kikatiba na kisheria ambao kwa nanna moja walikwazwa, kujeruhiwa, kutofurahishwa ama kuumizwa na maandiko ya kijana huyu.
You are too young to understand these things.Hayo mashtaka yanayomkabili yanahusu maandiko au utakatishaji fedha?
....🙄🙄🙄You are too young to understand these things.
Mimi ni foolish ndiyo maana upo jela uwe mpole chiefbado sijaona matusi.
kwani nikiandika wewe ni FOOLISH IN THINKING, hapo nimekutusi?. si kweli wewe ni foolish.
Aache uoga mtoto wa kiume mbona kuna wenzie wanalilia kurudishwa gerezani.....!!!!Jaman daaah Tuacheni utani , huyu jamaa amechakaa sana anatia huruma. Basi tu
Video sekunde 16
View attachment 1321554
Alipanda uzandiki na kutakatisha fedha anavuna kukaa gerezaniKwani Kabendera alipanda nini na anavuna nini?
Uzandiki kivipi na alitakatishaje fedha na uchafu wa hizo fedha alizotakatisha unatokana na nini?Alipanda uzandiki na kutakatisha fedha anavuna kukaa gerezani