Video: Tuacheni utani, Kabendera anatia huruma

Wewe umejuaji kama ni haki au sio haki kabla kesi haijasikilizwa?
Au mmlishirikiana naye kufanya hayo yalopelekea kukamatwa? So Una details!!
Sasa wewe ndiyo umendika nini hiki. Umeelewa kinachojadiliwa? Kama Ushahidi haujakamilika ni kwa nini walimkamata?
 
Yule Binti yako aliyepotea umempata Mkuu? Kwa akili ya namna hii, acha tu wahuni WAMTAFUNE KISAWA SAWA huko aliko hadi akili za kiCCM zikutoke kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…