Video: Tunisia Wanavyojisifu Kuuza Watumwa wa Kiafrika

Kinyungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2008
Posts
19,484
Reaction score
38,416
Utakumbuka hivi Majuzi Rais wa Tunisia Mh. Kais Saed alisema nchi yake inavamiwa na Waafrika ambao wanataka kubadili demography ya nchi yake. Sasa Mzee Mmoja akihojiwa nchini humo ameeleza kuwa Waafrica hawana dhamani kama wao Watunisia na wao wamekuwa wakiwauza tu kama bidhaa.

Siku za karibuni pia umoja wa wanafunzi wa Kiafrika wanaosoma Tunisia wametoa tamko la kutotoka nje ili kuepuka kushambuliwa na Watunisia mitaani.
Your browser is not able to display this video.




 
Watu weusi acha tuteswe tu akili ikae sawa tumezoea omba omba kama ni aibu
Haiwezekani tuna rasilimali za kila kitu na tuna ardhi nzuri, leo hii Mfumuko wa bei unaathiri maisha yetu hadi kwenye kilimo?

Hata Kilimo inatushinda ?
Tuna bandari hatuwezi kusimamia?
Tuna madini hatuwezi kusimamia?

Ni kitu gani tunachoweza kufanya?

Acha tuteswe AKILI IKAE SAWA haiwezekani tuishi kwa
 
Lakini nimeona hapo washkaji wakijisifu kwamba Africa wameanza kuwa na move nzuri baada Tshilombo Etienne Tchishekedi na Macron kutoelewana

Africa bwana!!!
 
Watunisia ni washika dini waliopitiliza usifananishe na ile mi-bushmen ya SA isiyo na dini. Tunisia wanategemewa wawe tafauti.
Inaonekana hata wewe upo tayari kwenda kuuzwa kwa "washika dini"
 
Akili/Rangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…