Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
- Thread starter
- #41
📌📌📌Kamwe tutapiga kelele tunasema mengi lakini hatuwezi kuheshimika pasipo kupiga hatua kimaendeleo. We fikiria hata kwenye ukoo, wale wenye pesa wanasikilizwa kuliko kapuku.
Hakuna kitakachobadilika kama hatutabadilika afrika viongozi wakaacha wizi, tukawa na roadmap ya kujenga nchi zetu