4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
hilo limepita tupo na hili la Tunisia , nyiny ndo mnafanya tuitwe kimah , maana inabid tuwe wamoja dhid ya tabia hiz za kibaguz , znaendelea sabab hatuchukui hatuaKama weusi wenzenu huko S.Africa hawawataki na kufikia kuwauwa mnataka waarabu wawapende kwa lipi?