Video: Tunisia Wanavyojisifu Kuuza Watumwa wa Kiafrika

Video: Tunisia Wanavyojisifu Kuuza Watumwa wa Kiafrika

Kama weusi wenzenu huko S.Africa hawawataki na kufikia kuwauwa mnataka waarabu wawapende kwa lipi?
hilo limepita tupo na hili la Tunisia , nyiny ndo mnafanya tuitwe kimah , maana inabid tuwe wamoja dhid ya tabia hiz za kibaguz , znaendelea sabab hatuchukui hatua
 
Watu weusi acha tuteswe tu akili ikae sawa tumezoea omba omba kama ni aibu
Haiwezekani tuna rasilimali za kila kitu na tuna ardhi nzuri, leo hii Mfumuko wa bei unaathiri maisha yetu hadi kwenye kilimo?

Hata Kilimo inatushinda ?
Tuna bandari hatuwezi kusimamia?
Tuna madini hatuwezi kusimamia?

Ni kitu gani tunachoweza kufanya?

Acha tuteswe AKILI IKAE SAWA haiwezekani tuishi kwa
Chin ya CCM hatutaweza kusimamia chochote ndugu
 
Watu weusi ni tatizo duniani

Wao waishie tu Kula kilichopo na kuzaliana

Suala la kuwa na Umoja, kuwa na maarifa na kuyatumia tuwaachie ngozi nyeupe

Hatupendani, Tunalogana, Tunauana
Ni kama tuna laana ukipambana kufanya jambo la maendeleo unakuwa adui kwa kila mtu na Serikali kwa ujumla.
Afrika kwenda mbele ni ngumu zaidi
 
Watu weusi ni tatizo duniani

Wao waishie tu Kula kilichopo na kuzaliana

Suala la kuwa na Umoja, kuwa na maarifa na kuyatumia tuwaachie ngozi nyeupe

Hatupendani, Tunalogana, Tunauana
Nakuunga mkono mkuu. Majukwaa mengi ya wabongo yamejaa story za kunyanduana, kuridhishana kingono na mengine yanayofanana na hayo. Huwezi kuta upuuzi huo kwenye nchi zinazojielewa.
 
Nakuunga mkono mkuu. Majukwaa mengi ya wabongo yamejaa story za kunyanduana, kuridhishana kingono na mengine yanayofanana na hayo. Huwezi kuta upuuzi huo kwenye nchi zinazojielewa.
Wa China wamejaa kila sehemu tunakoelekea fursa zote zitabaki za wao sisi tutabaki na ajira za jeshi, na wabunge akina Mwigulu, Msukuma, Kibajaji na Deo sanga ila ajira zingine za kitaaluma zitabaki za wachina sisi tutabaki na kubeba bokisi ili tupate hela ya ku-bet na kamali.
 
Watunisia ni washika dini waliopitiliza usifananishe na ile mi-bushmen ya SA isiyo na dini. Tunisia wanategemewa wawe tafauti.
Unawawekaje wa-tunisia kwenye kushika dini unajua Tunisia ni nchi chache ambazo hawajashika sana dini
 
Unawawekaje wa-tunisia kwenye kushika dini unajua Tunisia ni nchi chache ambazo hawajashika sana dini
Unampigia mbuzi gitaa.

Huyo akishaona ni warabu tu kwake ni washika dini tena ni waislamu hata kama ni wakristo na hawana mpango na hiyo dini.
 
Ukweli ni kwamba ninyi weusi jengeni nchi zenu ziwe bora hapo hakuna excuse yoyote, mambo ya kufaidi waliojenga nchi zao kwa jasho wewe ukale raha hayapo
Mimi nashangaa watu wamekuja juu balaa!!ni nchi gani duniani inaweza kukubali tu watu waishi bila vibali halali?hapa tu kila siku utasikia wahamiaji haramu wamekamatwa na wanaishia jela!!!Na huko Tunisia wengi ni kutoka West Africa,na imekuwa ni njia ya kuzamia ulaya!!Hata hao viongozi wa AU,ni wanafiki tu wao ndio chanzo cha wimbi la waafrika wengi kukimbilia ulaya kupitia njia hatari!!
 
Mimi nashangaa watu wamekuja juu balaa!!ni nchi gani duniani inaweza kukubali tu watu waishi bila vibali halali?hapa tu kila siku utasikia wahamiaji haramu wamekamatwa na wanaishia jela!!!Na huko Tunisia wengi ni kutoka West Africa,na imekuwa ni njia ya kuzamia ulaya!!Hata hao viongozi wa AU,ni wanafiki tu wao ndio chanzo cha wimbi la waafrika wengi kukimbilia ulaya kupitia njia hatari!!
zipo taratibu , usiwe barbaric ivyoo
 
zipo taratibu , usiwe barbaric ivyoo
Kwani walioko kisheria huko mbona hawasumbuliwi hivyo?yaani wahamiaji haramu wametapakaa mitaani kwa kujenga mabanda ya kuishi ovyo ovyo tu!!
 
Watunisia ni washika dini waliopitiliza usifananishe na ile mi-bushmen ya SA isiyo na dini. Tunisia wanategemewa wawe tafauti.
Dini kitu gani wewe mbona unakuwa mjinga? Yaani unachukua lugha za wakoloni unazibeba kwenye fikra zako. Eti bushmen. Hizo dini za Mashariki ya Kati ndo msingi wa utumwa. Na mnaoabudu hizo dini ni watumwa wa akili, na mkiingia katika anga za wenye dini zao ndo wanawageuza kirahisi kuwa watumwa na kuwa wakala wao wa kuwatafutia watumwa.
 
Wanajisumbua...

hii dunia ilipofika kuchangamana hakuepukiki.....

Waarabu,Wazungu,Waafrika,Wahindi wekundu,Wachina....wataoana tu...
 
Utakumbuka hivi Majuzi Rais wa Tunisia Mh. Kais Saed alisema nchi yake inavamiwa na Waafrika ambao wanataka kubadili demography ya nchi yake. Sasa Mzee Mmoja akihojiwa nchini humo ameeleza kuwa Waafrica hawana dhamani kama wao Watunisia na wao wamekuwa wakiwauza tu kama bidhaa.

Siku za karibuni pia umoja wa wanafunzi wa Kiafrika wanaosoma Tunisia wametoa tamko la kutotoka nje ili kuepuka kushambuliwa na Watunisia mitaani.
View attachment 2536938

View attachment 2536939

View attachment 2536940
Kamwe tutapiga kelele tunasema mengi lakini hatuwezi kuheshimika pasipo kupiga hatua kimaendeleo. We fikiria hata kwenye ukoo, wale wenye pesa wanasikilizwa kuliko kapuku.
Hakuna kitakachobadilika kama hatutabadilika afrika viongozi wakaacha wizi, tukawa na roadmap ya kujenga nchi zetu
 
Kamwe tutapiga kelele tunasema mengi lakini hatuwezi kuheshimika pasipo kupiga hatua kimaendeleo. We fikiria hata kwenye ukoo, wale wenye pesa wanasikilizwa kuliko kapuku.
Hakuna kitakachobadilika kama hatutabadilika afrika viongozi wakaacha wizi, tukawa na roadmap ya kujenga nchi zetu
Mkuu mzizi wa tatizo letu sisi watu weusi ni kukosa akili kulinganisha na hao watu weupe [ wachina, wazungu, wakorea, waarabu n.k ]

Tutazunguka weee lakini tatizo sugu ni akili, hao viongozi wetu wana toka katika jamii hii hii ya watu weusi hawatoki ng'ambo.
 
Back
Top Bottom