πππKamwe tutapiga kelele tunasema mengi lakini hatuwezi kuheshimika pasipo kupiga hatua kimaendeleo. We fikiria hata kwenye ukoo, wale wenye pesa wanasikilizwa kuliko kapuku.
Hakuna kitakachobadilika kama hatutabadilika afrika viongozi wakaacha wizi, tukawa na roadmap ya kujenga nchi zetu
Ulivo na ujinga mwingi kubaguliwa na mwarabu kunakuuma zaidi ya kubaguliwa na mtu mweusi mwenzako kutoka South AfricaWatunisia ni washika dini waliopitiliza usifananishe na ile mi-bushmen ya SA isiyo na dini. Tunisia wanategemewa wawe tafauti.
UNafiki wa viongozi wetu Afrika kukaa kimya kwa hizi events ndiyo mauti yetu.Utakumbuka hivi Majuzi Rais wa Tunisia Mh. Kais Saed alisema nchi yake inavamiwa na Waafrika ambao wanataka kubadili demography ya nchi yake. Sasa Mzee Mmoja akihojiwa nchini humo ameeleza kuwa Waafrica hawana dhamani kama wao Watunisia na wao wamekuwa wakiwauza tu kama bidhaa.
Siku za karibuni pia umoja wa wanafunzi wa Kiafrika wanaosoma Tunisia wametoa tamko la kutotoka nje ili kuepuka kushambuliwa na Watunisia mitaani.
View attachment 2536938
View attachment 2536939
View attachment 2536940
Rasilimali zetu ndiyo umaskini wetuMasikini hana kauli
Kuuzwa na kununuliwa kwa watu weusi,hakujaanzia Tunisia,kulifanyika Karne nyingi zilizopita,Utakumbuka hivi Majuzi Rais wa Tunisia Mh. Kais Saed alisema nchi yake inavamiwa na Waafrika ambao wanataka kubadili demography ya nchi yake. Sasa Mzee Mmoja akihojiwa nchini humo ameeleza kuwa Waafrica hawana dhamani kama wao Watunisia na wao wamekuwa wakiwauza tu kama bidhaa.
Siku za karibuni pia umoja wa wanafunzi wa Kiafrika wanaosoma Tunisia wametoa tamko la kutotoka nje ili kuepuka kushambuliwa na Watunisia mitaani.
View attachment 2536938
View attachment 2536939
View attachment 2536940
Kumbe Tunisia ni dini gani vileUtakumbuka hivi Majuzi Rais wa Tunisia Mh. Kais Saed alisema nchi yake inavamiwa na Waafrika ambao wanataka kubadili demography ya nchi yake. Sasa Mzee Mmoja akihojiwa nchini humo ameeleza kuwa Waafrica hawana dhamani kama wao Watunisia na wao wamekuwa wakiwauza tu kama bidhaa.
Siku za karibuni pia umoja wa wanafunzi wa Kiafrika wanaosoma Tunisia wametoa tamko la kutotoka nje ili kuepuka kushambuliwa na Watunisia mitaani.
View attachment 2536938
View attachment 2536939
View attachment 2536940
Kwani waarabu ni wabaguzi? Watu wa deen wanakuwaje wabaguzi? Mjinga!Ulivo na ujinga mwingi kubaguliwa na mwarabu kunakuuma zaidi ya kubaguliwa na mtu mweusi mwenzako kutoka South Africa
Huu ukweli unauma!Ukweli ni kwamba ninyi weusi jengeni nchi zenu ziwe bora hapo hakuna excuse yoyote, mambo ya kufaidi waliojenga nchi zao kwa jasho wewe ukale raha hayapo
HawanaWatunisia ni washika dini waliopitiliza usifananishe na ile mi-bushmen ya SA isiyo na dini. Tunisia wanategemewa wawe tafauti.
Tunisia yenyewe Haina lolote.Ukweli ni kwamba ninyi weusi jengeni nchi zenu ziwe bora hapo hakuna excuse yoyote, mambo ya kufaidi waliojenga nchi zao kwa jasho wewe ukale raha hayapo
Kukata mauno tu ndy tunawezaWatu weusi acha tuteswe tu akili ikae sawa tumezoea omba omba kama ni aibu
Haiwezekani tuna rasilimali za kila kitu na tuna ardhi nzuri, leo hii Mfumuko wa bei unaathiri maisha yetu hadi kwenye kilimo?
Hata Kilimo inatushinda ?
Tuna bandari hatuwezi kusimamia?
Tuna madini hatuwezi kusimamia?
Ni kitu gani tunachoweza kufanya?
Acha tuteswe AKILI IKAE SAWA haiwezekani tuishi kwa
Zezeta la jamiiforum likishashiba makande linakuja hapa kwa kuisema dini flani, yaani wao mawazo yao yamekaa kichuki tu, ukiskia mazezeta ndio kama hayoKwahiyo mtu akisha kuwa mwarabu basi huyo ni mshika dini basi sawa.
Taari upimbi na uzezeta unakusumbua kenge wwHabari usizopenda kuzisikia! Pole sana.
... kumbe upo? Ulipotea humu nikajua "ulishavuta".Taari upimbi na uzezeta unakusumbua kenge ww