Video: Tuwe makini na imported rice

Video: Tuwe makini na imported rice

tamsana

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2012
Posts
3,739
Reaction score
8,044

Sijui hiki kiwanda kiko nchi gani.
 
Hii clip imezagaa sana ila tatizo ni kutembea wakuu
Watu hawajawahi kuona puffed rice lakini ni chakula maarufu sana India

Naona kila mtu anauliza ni nini bali ni mchele unaowekwa kwenye mchanga wa moto sana na unakuwa kama unavyotengeneza bisi au popcorn

Hata wachina wanatengeneza pia
Ni vizuri kujifunza tamaduni za wenzetu au kusafiri pia
Mimi niliona India hizo

Na unaweza kuona pia hapa
Ila haihusiani na wali tunaokula kwani hizo ni bisi tu
Screenshot_20230218_172300_Google.jpg
 
Majungu yameanza.

Wakati mnaficha mpunga kwenye magodauni yenu ili Bei ipande na mtuuzie kwa Bei ya juu sisi tulinyamaza kimya.

Sasa kaeni kimya ili na sisi tufaidi matunda ya Nchi.

Adui wa Mtanzania ni Mtanzania.
Anayeumia sio mkulima wala mfanyabiashara bali mlaji wa mwisho.
 
Mtaacha lini majungu roho mbaya fitina uchawi na mambo yanyayofanana na hayo ?

Uo mchele wa plastic Mimi ndo nautaka nile na Familiya yangu
 
Hii clip imezagaa sana ila tatizo ni kutembea wakuu
Watu hawajawahi kuona puffed rice lakini ni chakula maarufu sana India

Naona kila mtu anauliza ni nini bali ni mchele unaowekwa kwenye mchanga wa moto sana na unakuwa kama unavyotengeneza bisi au popcorn

Hata wachina wanatengeneza pia
Ni vizuri kujifunza tamaduni za wenzetu au kusafiri pia
Mimi niliona India hizo

Na unaweza kuona pia hapa
Ila haihusiani na wali tunaokula kwani hizo ni bisi tu
View attachment 2521973
Mbona unatengenezwa kienyeji hivyo mkuu. Ni kweli mie wa hapa hapa, bora kubakia na tamaduni zetu.
 
Asante acheni majungu
15 yrs back tulikuwa tunakula Kitumbo na Tailand there's nothing happened

Mmeficha mchele then hamtaki tule wa kutoka nje?
Aisee mbona unaniattack kama vile mimi ndio nimeuficha. Mimi nitaendelea kula ugali.
 
Back
Top Bottom