Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Ki layman Hati za Muungano ni mkataba, lakini kisheria sio mkataba ni makubaliano tuu!. Hili nimelielimisha sana humu, Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?Soma hapo kilichopo , Huo ni mkataba
Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, Tanzania Bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar.P vuka maji nenda Zanzibar kayaongee haya.
Nakuelewa ndugu Paschal Ila huu Muungano ni kana kwamba Tanganyika wanaulazimisha. Wazanzibari wako proud kujitambulisha kama wazanzibari. Watanganyika mna lenu jambo kwenye huu Muungano.Sio ubatili, hakuna raia wa Zanzibar kwasababu Zanzibar sio nchi, haina raia, nchi ni Tanzania na uraia ni mmoja tuu, uraia wa Tanzania.
Ila Zanzibar ni eneo halali lenye utawala wake wa ndani na eneo hilo lina wakaazi, hivyo kile kitambulisho cha ukaazi wa Zanzibar ni kitambulisho cha ukaazi wa eneo la Zanzibar na sio kitambulisho cha uraia wa Zanzibar, hakuna raia wa Zanzibar, raia wote ni raia wa Tanzania na wana haki zote za uraia sawa sawa ikiwemo kumiliki ardhi na ajira ndani ya JMT!.
P
Ki layman Hati za Muungano ni mkataba, lakini kisheria sio mkataba ni makubaliano tuu!. Hili nimelielimisha sana humu, Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?
Na hili nimelifanyia assignment Je, wajua kuwa kuna uwezekano Tanzania sio nchi halali Kisheria (De Jure) Bali ni De Factor?!
P
Utasemaje una Tanzania wakati huo huo unaikataa Tanganyika na unaipa uhalali Zanzibar mbona wasomi wetu nanyi ni kama sisi tu.Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, Tanzania Bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar.
Zanzibar ina utawala wake wa ndani, hivyo ina haki ya kujiita vyovyote!.
P
Njaa mkuu inasumbua akiliUtasemaje una Tanzania wakati huo huo unaikataa Tanganyika na unaipa uhalali Zanzibar mbona wasomi wetu nanyi ni kama sisi tu.
Tumependa, tumekufa, tumeoza, ndio maana tutaulinda kwa gharama yoyote.Nakuelewa ndugu Paschal Ila huu Muungano ni kana kwamba Tanganyika wanaulazimisha. Wazanzibari wako proud kujitambulisha kama wazanzibari. Watanganyika mna lenu jambo kwenye huu Muungano.
Time will tellTumependa, tumekufa, tumeoza, ndio maana tutaulinda kwa gharama yoyote.
P
Hili nimewahi kukizungumza humu, Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano?Sasa nakuuliza kuna Siri gani Serikali ya Muungano kuzuia upinzani kushinda uchaguzi Zanzibar?
For sure, ila kama ni kusubiri huu Muungano wetu adhimu uvunjike..., then utasubiri sana!.Time will tell
Hakuna aliyefikiria kuvunjika Soviet Union nchi iliyokuwa na nguvu kiuchumi na kijeshi na ilivunjika kiulaini tu ghafla. Viashiria vya kuvunjika huu uvamizi uitwao Muungano vipo kila upande , vingi tu , ni suala la muda tu, utakuja kuniambia tukiwa hai. Wåatu wamechoka nao , ni wezi wachache tu wanaotumia nguvu ndio hulazimisha kuwepoFor sure, ila kama ni kusubiri huu Muungano wetu adhimu uvunjike..., then utasubiri sana!.
P
Hili nimewahi kukizungumza humu, Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano?
Na nikashauri, Kumuepushia aibu ya Kushindwa, CCM isimsimamishe Dr. Shein CCM haikusikia!, ule uchaguzi CCM ili... Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda
Ukisikia kuulinda Muungano kwa gharama yoyote, ndiko huko!.
P
Kaka p.Katiba ya Zanzibar ni kwa ajili ya mambo ya ndani ya Zanzibar, Katiba ya JMT haitambui katiba ya Zanzibar. Tanzania ni nchi moja ya JMT, Zanzibar sio nchi ni sehemu ya JMT. Hivyo haijalishi katiba ya Zanzibar inasema nini kuhusu Zanzibar, hayo ni mambo yao, hayatuhusu!.
P
Ukishasema hayo ni mambo yao,hayatuhusu!Katiba ya Zanzibar ni kwa ajili ya mambo ya ndani ya Zanzibar, Katiba ya JMT haitambui katiba ya Zanzibar. Tanzania ni nchi moja ya JMT, Zanzibar sio nchi ni sehemu ya JMT. Hivyo haijalishi katiba ya Zanzibar inasema nini kuhusu Zanzibar, hayo ni mambo yao, hayatuhusu!.
P
Hahahaaa...Mimi nimezaliwa Tanzania, na wengi wetu tumezaliwa Tanzania, waliozaliwa Tanganyika wote by now ni wastaafu, wako over 60 years, na walipopata akili, walikuwa tayari Tanzania, ni Watanganyika gani hao wa kuililia Tanganyika na kujivunia Tanganyika?.
Muungano ni kama ndoa, Zanzibar ni kama mwenza, sasa wewe kama mwenza wako anajipodoa, na wewe utataka kujipodoa ili mlingane?. Hebu acheni hizi kitu!.
P
Ile nyara toka hifadhi ya Gombe imechanganyikiwa kabisaView attachment 2991056
Ndugu wana JF - Jukwaa la Siasa;
Mjadala wa muungano tata wa Tanganyika na Zanzibar (1964) unaendelea tena leo....
Na kwa kweli mjadala huu haupaswi kuishia njiani isipokuwa tu wote tumeelewana na kukubali kuwa lipo tatizo ktk muungano huu linalostahili kutatuliwa sasa na sio kesho kama tunataka kuendelea nao...
Leo katika video hiyo☝🏻☝🏻 ni makala ya uchambuzi toka kwa mchambuzi nguli wa maswala ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ndugu Ansbert Ngurumo kupitia YouTube channel yake [SK Media Online TV] anayeishi uhamishoni Uingereza
Katika uchambuzi huu, Ansbert Ngurumo anazimulika kauli za watu watatu juu muungano wa Tanganyika na Zanzibar (1964) ambao ni;
1. Mzee Steven Wassira a.k.a Tyson (CCM)
2. Rais Samia Suluhu Hassan (CCM)
3. Tundu Antipasy Lissu (CHADEMA)
Hawa wote wanajibu maswali mawili muhimu yafuatayo ambayo ndiyo msingi mkuu wa ubishani unaoendelea sasa ktk muungano huu;
1. KWAMBA, Zanzibar ni nchi au sio nchi?
2. KWAMBA, Watu au wananchi wa nchi ya Zanzibar ni Watanzania au Wazanzibari?
Nani mkweli kati ya hawa watu watatu kuhusu muungano wetu? Nini maoni yako? Tatizo liko wapi? Ni kitu gani kinafichwa kupitia muungano huu?
Tazama na sikiliza video hiyo ya dakika 14 tu hadi mwisho kisha tumia akili yako kupima mwenyewe halafu sema kitu.
Na bila shaka kasi ya internet imeboreka kiasi chake na hivyo kila mtu ataifungua video hii bila kuhangaika sana..
==========================================
Mkuu zanzibar Ni nchi kulingana na Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984
Hata hivyo kwa Mujibu Wa Katiba ya zanzibar
Walijiandikia kwa Nguvu ya Nani??.
.
HUWEZI kwenda kwenye shauri la mgogoro wa kiwanja umebeba vielelezo ulivyoviandika mwenyewe nyumbani kwako! Havina nguvu.
Katiba ya Zanzibar walijiandikia wenyewe 1984, miaka 20 baada ya Muungano.
Katiba ya Zanzibar haiwezi kutumika ku define U-taifa na U-nchi wao wenyewe bila kujali Katiba inasema nini.
Hata kama wazanzibari hawaukubali ?? Performance ipi ya kuwauwa wazanzibari kila uchaguzi ili kuweka vibaraka vya Tanganyika ??