Video: Unapanda daladala halafu unanitaka kimapenzi?

Video: Unapanda daladala halafu unanitaka kimapenzi?

Huyu mtoto choko wadau mwanaume wa kweli hawezi kuongea hivo Kama dem anayejisifia na madanga never, mm Gari Ninalo Ila sometimes napanda daladala fresh tu hasa nikiwa nazuka kkoo hua Naona shida parking na kuepuka kuchubuana lakini uyo chokoo aache ujinga
 
Katika historia yangu demu aliyenikataaga kwa sababu zozote zile alafu badae anikute kwenye hali fulani nzuri aanze kunishobokeaga sijawahi pepesa maneno. Wapo kama watatu hivi nilishawahi kuwachana, mlipokuwa na chuchu zimesimama mliniona fala kwahyo sasahivi ndio mnaniona nafaa. Kipindi life ngumu hawataki shobo lakini nimetusua kidogo tu hao
 
Pumbavu kabisa utakuta ndio hao wanalala 12 chumba kimoja magodoro matatu chakula mpaka apigwe mishe ndio apate hela
Alafu Leo et mpaka uwe na gari..khaa Ina tv ndani???
 
wanamawazo mgando ,unataka mwenye gari wakati huna hata baiskeli kwanini usitafute masikini mwenzako? kwa mjibu wa kikao cha jana ukiona demu ni masikini hana gari usioe mwache aolewe na masikini mwenzake. haiwezekani mwanaume ndo kiumbe pekee ambaye anaweza ishi na mwanamke masikini maisha yake yote,ila hakuna mwanamke anayeweza ishi na mwanaume masikini maisha yake yote, utaanza kusikia ohh mwanaume suruali n.k,ili twende 50/50 kama wewe nitajili demu kama hana hela, kipato,hana gari usioe mwache aolewe na masikini mwenzake
 
Nami kwa kweli kama huna gari kali hata usinisemeshe. Maana tutatoka out itafika mida ya kutaka kuondoka akili yako inahama inaanza kuwaza kugombea daladala au mwendokasi. Sitakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
View attachment 2643444
Kama K ni Sawa na gari, hawa wanaotembea mtaani Kwa mguu na kujazana Kwenye madaladala wote ni wanaume?.


Maana kwa mtazamo wako K ni usafiri
 
Mwanamke mpumbavu utamjua kwa kauli zake za kipumbavu.
Utakuta ukoo wake mzima hakuna hata mmiliki wa bajaji, halafu utakuta mwanamke mwenye masharti ya kipumbavu Hana chura, Hana elimu, anamatatizo ya ndani kwa ndani, Hana mvuto yaani amekaa Kama mchawi Fulani hivi.
Sio bajaji tu mkuu hata tairi bovu ambalo linaweza kuonyesha kwamba paliwahi kua na gari hapo kwao.
 
Mwanamke mpumbavu utamjua kwa kauli zake za kipumbavu.
Utakuta ukoo wake mzima hakuna hata mmiliki wa bajaji, halafu utakuta mwanamke mwenye masharti ya kipumbavu Hana chura, Hana elimu, anamatatizo ya ndani kwa ndani, Hana mvuto yaani amekaa Kama mchawi Fulani hivi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanamke mpumbavu utamjua kwa kauli zake za kipumbavu.
Utakuta ukoo wake mzima hakuna hata mmiliki wa bajaji, halafu utakuta mwanamke mwenye masharti ya kipumbavu Hana chura, Hana elimu, anamatatizo ya ndani kwa ndani, Hana mvuto yaani amekaa Kama mchawi Fulani hivi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waache! Wapewe mimba kisha wakutelekezwa waingie kwenye kundi la maombolezo linalozomewa kila uchwao humu
Hapo ndio wanaanza kwenda kwa manabii wa michongo kina Mwampoteza, Mousa, mzee wa michongo kuombewa wapate waume ambao hawana watoto, wako financially stable, six pack na wasiokunywa pombe.
 
Back
Top Bottom