Video: Unapanda daladala halafu unanitaka kimapenzi?

Video: Unapanda daladala halafu unanitaka kimapenzi?

Humu hamna soko la wadangaji nenda telegram na insta, pole 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Una uzoefu ndo unakodangia shosti? Unajiungaje? Nakuona hata unavyojichekesha chekesha.... Ingekuwa umezaliwa mwanaume ngesema wewe ni shoga. Wanaume huwa hawacheki cheki hovyo....
 
Kama unavyodanga? Mwanamke huna hata vigezo vya mwanaume unayemtaka.... Au ndo kutaka uwakamate wote? Ukizabina zabina huo....

Dj waleteee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2222][emoji2222]
 
Kama unavyodanga? Mwanamke huna hata vigezo vya mwanaume unayemtaka.... Au ndo kutaka uwakamate wote? Ukizabina zabina huo....
Bwana weee mbona kupaniki? Nimesema labda..ila umetokwa na povu si la nchi hii..mimi kwangu gari sio kigezo labda kama unataka show off..
 
Bwana weee mbona kupaniki? Nimesema labda..ila umetokwa na povu si la nchi hii..mimi kwangu gari sio kigezo labda kama unataka show off..
Sasa hiyo ni wewe.... Na mimi ni mimi.
 
Hakuna unacho offer zaidi ya mbususu utapataje wanaume wenye magari wakati akili huna tafuta gari upate wenye magari
 
Una uzoefu ndo unakodangia shosti? Unajiungaje? Nakuona hata unavyojichekesha chekesha.... Ingekuwa umezaliwa mwanaume ngesema wewe ni shoga. Wanaume huwa hawacheki cheki hovyo....
Pole 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yako,

Njoo na gia nyingine hawajiuzagi hivyo huku,

Hamna mwanaume mjinga wa kumpunyua kizembe hivyo jf tushawazoea sana, alikuwepo mwenzako figo saivi kapoa kama maji ya kisimani 😁😁😁😁😁😁😁😁

Najua upo period chukua time urelax ukitoka useme 😆😆😆😆
 
Pole [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yako,

Njoo na gia nyingine hawajiuzagi hivyo huku,

Hamna mwanaume mjinga wa kumpunyua kizembe hivyo jf tushawazoea sana, alikuwepo mwenzako figo saivi kapoa kama maji ya kisimani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Najua upo period chukua time urelax ukitoka useme [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119] mimi nataka kukupunyua sasa unasemaje?!!
 
Upo sahihi shoga angu, kwenda dinner kwa daladala hapana hainogiiiiiiiiiii,

Wanaume tafuteni helaaaaaa
Haya basi kachukue gari na mshua wako twende nalo huko dinner. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unazungumzia watoto wa kishua wa wapi wanaopandishwa daladala acha kutupanga hapa,

Tafuta helaaaaaaaaa
Mbona wapo wengi, kama unataka ushahidi njoo nikupeleke kwa dogo anadate na mtoto wa naibu waziri. Binti anakapenda kajamaa halafu kajamaa hakamletei njaa binti.

Dogo anakaa chumba kimoja choo nje, binti anakuja anamletea zawadi ila akitaka kumpatia mahitaji dogo anakomaa yaani hakataki kumpa shida binti hata kidogo.

Nimekuja kujua binti ni mtoto wa naibu waziri baada ya kuambiwa. Wakitoka anapanda bajaji au watachukua pikipiki hadi kwenye kituo cha daladala kuna siku nilikutana nao ndio wanashuka kwenye daladala nikawapa lift kielekea mitaa yao.

So trust me, watoto wa kishua huwa hawanaga hizi swagga za kutaka makubwa na kwao yapo sasa.
 
Mwanaume unataka kulelewa [emoji1787]

Kaza msuli, simama kiume, waleti itune
Na wewe uwe na kibunda kidogo sasa sio utake mambo makubwa halafu 100% alipie mtoto wa mama mkwe huo ni unyonyaji eboooo [emoji23][emoji23][emoji23] gaddemushiti.
 
Back
Top Bottom