Kwani wewe una nini hadi uchukie wapanda dala dala? Kama u tajiri hivyo si upande chopa kila uendapo mjini?Nami kwa kweli kama huna gari kali hata usinisemeshe. Maana tutatoka out itafika mida ya kutaka kuondoka akili yako inahama inaanza kuwaza kugombea daladala au mwendokasi. Sitakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
View attachment 2643444
Wewe mwenyewe kazi mbovuNami kwa kweli kama huna gari kali hata usinisemeshe. Maana tutatoka out itafika mida ya kutaka kuondoka akili yako inahama inaanza kuwaza kugombea daladala au mwendokasi. Sitakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
View attachment 2643444
Unataka MWANAUME mwenye gari akili, sura na shepu ya kaa mbele ya gari unayo?Nami kwa kweli kama huna gari kali hata usinisemeshe. Maana tutatoka out itafika mida ya kutaka kuondoka akili yako inahama inaanza kuwaza kugombea daladala au mwendokasi. Sitakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
View attachment 2643444
Kama K ni Sawa na gari, hawa wanaotembea mtaani Kwa mguu na kujazana Kwenye madaladala wote ni wanaume?.Nami kwa kweli kama huna gari kali hata usinisemeshe. Maana tutatoka out itafika mida ya kutaka kuondoka akili yako inahama inaanza kuwaza kugombea daladala au mwendokasi. Sitakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
View attachment 2643444
Sio bajaji tu mkuu hata tairi bovu ambalo linaweza kuonyesha kwamba paliwahi kua na gari hapo kwao.Mwanamke mpumbavu utamjua kwa kauli zake za kipumbavu.
Utakuta ukoo wake mzima hakuna hata mmiliki wa bajaji, halafu utakuta mwanamke mwenye masharti ya kipumbavu Hana chura, Hana elimu, anamatatizo ya ndani kwa ndani, Hana mvuto yaani amekaa Kama mchawi Fulani hivi.
Wewe gari unalo?
Kwa nini msitumie la kwako?
Am I missing something? [emoji15][emoji15][emoji15]
wanasema ndege wafananao huruka pamoja, halafu mbona watu wana magari na wanapanda daladalaNami kwa kweli kama huna gari kali hata usinisemeshe. Maana tutatoka out itafika mida ya kutaka kuondoka akili yako inahama inaanza kuwaza kugombea daladala au mwendokasi. Sitakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
View attachment 2643444
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke mpumbavu utamjua kwa kauli zake za kipumbavu.
Utakuta ukoo wake mzima hakuna hata mmiliki wa bajaji, halafu utakuta mwanamke mwenye masharti ya kipumbavu Hana chura, Hana elimu, anamatatizo ya ndani kwa ndani, Hana mvuto yaani amekaa Kama mchawi Fulani hivi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke mpumbavu utamjua kwa kauli zake za kipumbavu.
Utakuta ukoo wake mzima hakuna hata mmiliki wa bajaji, halafu utakuta mwanamke mwenye masharti ya kipumbavu Hana chura, Hana elimu, anamatatizo ya ndani kwa ndani, Hana mvuto yaani amekaa Kama mchawi Fulani hivi.
Hao wenye magari wooote wapo viumbe waliopanda nao daladala we Sasa iitakuaje🤔🤔🤔🤔🤔?
Hapo ndio wanaanza kwenda kwa manabii wa michongo kina Mwampoteza, Mousa, mzee wa michongo kuombewa wapate waume ambao hawana watoto, wako financially stable, six pack na wasiokunywa pombe.Waache! Wapewe mimba kisha wakutelekezwa waingie kwenye kundi la maombolezo linalozomewa kila uchwao humu