Video: Unapanda daladala halafu unanitaka kimapenzi?

Video: Unapanda daladala halafu unanitaka kimapenzi?

Pole 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yako,

Njoo na gia nyingine hawajiuzagi hivyo huku,

Hamna mwanaume mjinga wa kumpunyua kizembe hivyo jf tushawazoea sana, alikuwepo mwenzako figo saivi kapoa kama maji ya kisimani 😁😁😁😁😁😁😁😁

Najua upo period chukua time urelax ukitoka useme 😆😆😆😆
Mwanamke kuwa period ni kawaida sasa wewe umejisokomeza matambala nyuma kwako sababu wanaume wenzako wanakupiga pipe... Ndo maana una tabia za kike za mipasho hivi kama juma lokole tu. Unabokolewa umekuwa na tabia za kike kabisa....
 
Mwanamke kuwa period ni kawaida sasa wewe umejisokomeza matambala nyuma kwako sababu wanaume wenzako wanakupiga pipe... Ndo maana una tabia za kike za mipasho hivi kama juma lokole tu. Unabokolewa umekuwa na tabia za kike kabisa....
Polee unateseka ukiwa wapi rafiki, sio kwa makasiriko hayo, tena nina wasiwasi una kisamaki cha gonorrhea, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Daaaah mmekosa soko mitandao mingine mpaka mje kujiuza humu Nishakuambia humu hamna mapimbi

Kuna badoo, utawapata hao mabwana wenye ma v8, na lexus wakutongoze


Humu hamna fala tushawasanukia tena isijekuwa ww ni dume kabisa, unatumia id ya kike 🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Nami kwa kweli kama huna gari kali hata usinisemeshe. Maana tutatoka out itafika mida ya kutaka kuondoka akili yako inahama inaanza kuwaza kugombea daladala au mwendokasi. Sitakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
View attachment 2643444


Mimi nina 4 magari, 1 hard top1HDat, Mitsubish Nativa, Corolla 111, na BMW 301...

Kuna watu wengi sana hawajawahi ona magari yangu, kwa trafic ya Dar, na bei ya Bolt? Ha ha ha....

Utanikuta na gari J2 jioni nikiwa na watoto, au kama natoka mkoani, mishe za shughuli na appointment? No way.

Kupanda dala dala sio kitu cha ku judge uwezo wa mtu, ukiwa na hilo gari utanielewa.
 
Kuamini kuwa mwanaume wako anatakiwa kukupatia vitu ambavyo baba yako na ukoo mzima wameshindwa kukupatia kwa malipo ya sehemu zako za siri ni aina ya kisasa ya Umalaya ambao jamii haikemei na mabinti mnaufanya wazi wazi.

Ungekuwa unatoka familia ya kishua ambayo wanagari saba zimepaki hapo nje then ungekuwa na haki ya kusema unataka the same treatments familia yako walikupa.

Sasa cha ajabu watoto wa kike wanaotokea hizi familia za kishua huwa hawanaga time ya kudemand wapewe maisha mazuri yaani magari sijui nini, wao ukimpeleka Moody chips mkale lunch anakwenda bila dharau, ukimpandisha daladala mradi u are having a good time she's okay, na pale unapokwama atajitoa ili akukwamue.

Ila sasa hizi takataka tunakutana nazo hizi zimekulia maisha ya kubangaiza kama sisi halafu wanatuigizia kuwa wao wanakula tu pizza, burger [emoji488], na take aways za KFC tu. Pumbavu kabisa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ma Mshuza umesikia huko acha udangaji umekulia kwenye shida unataka upewe pewe bure tako lenyewe lina kisamaki hilo ukivua chupi harufu kaa ya panya buku 😅😅😅😅😅😅,


Tena na hiyo sura ya baba sasa 🚮🚮 wanawake wazuri hawajibrand famba ww, kachukue notes tena

Emoj nakusalimu rafiki ndoa yako Inaendeleaje
 
Ma Mshuza umesikia huko acha udangaji umekulia kwenye shida unataka upewe pewe bure tako lenyewe lina kisamaki hilo ukivua chupi harufu kaa ya panya buku 😅😅😅😅😅😅,


Tena na hiyo sura ya baba sasa 🚮🚮 wanawake wazuri hawajibrand famba ww, kachukue notes tena

Emoj nakusalimu rafiki ndoa yako Inaendeleaje
Mwanaume kuolewa ni jambo la kukemea. Ushoga tunaupinga sana. Umelegea mpaka unacheka cheka tu. Ulidhani nitakuchukulia mabwana zako humu? Walaaaah. Uwe na amani joma lokole
 
Ndio maana vijana tunawaambia Sex iko overrated wanaanza kubwabwaja, Mademu wanahisi Pussy zao ni za thamani sana kiasi cha kuweka masharti eti hadi uwe na gari kali, hii imefanya vijana waingie kwenye gharama za kukodi hata magari angalau waopoe mademu ambao K Zao zenyewe zimetumika balaa...yeye kama anataka gari kwa nini asinunue lake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutoka kimapezi na gari langu inahusiana vipi? Wakati hata kupanda hutopanda yaani nakupa nauli unakuja uwanjani jinsi unavyojua wewe then after kila mmoja na 50 zake... Au umemaanisha vipi kutoka kimapenzi?
 
Mbona wapo wengi, kama unataka ushahidi njoo nikupeleke kwa dogo anadate na mtoto wa naibu waziri. Binti anakapenda kajamaa halafu kajamaa hakamletei njaa binti.

Dogo anakaa chumba kimoja choo nje, binti anakuja anamletea zawadi ila akitaka kumpatia mahitaji dogo anakomaa yaani hakataki kumpa shida binti hata kidogo.

Nimekuja kujua binti ni mtoto wa naibu waziri baada ya kuambiwa. Wakitoka anapanda bajaji au watachukua pikipiki hadi kwenye kituo cha daladala kuna siku nilikutana nao ndio wanashuka kwenye daladala nikawapa lift kielekea mitaa yao.

So trust me, watoto wa kishua huwa hawanaga hizi swagga za kutaka makubwa na kwao yapo sasa.
Ma Mshuza umesikia huko mabinti wa kishua hawana njaa kaa zako,

#HATUPIGWI RAUNDI HII#
 
Kuuzoea ukata nako kuna tabu zake.Maana licha ya kua nalo ila kiukwel gari bado sijaona kama ni kitu cha kumzuzua mtu akil kama mleta mada hapa.Sometimes najionea normal tu kupanda dala dala na kuacha gar home kama sina ishu sensitive..
 
Back
Top Bottom