Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipuuze cheo chake. Ndio kimempa fursa ya kubakaMtaanza kusagiana kunguni za kidini wakati hizo ni tabia za mtu binafsi.
Cc Faiza Fox, The BossHili tukio limetokea huko Zanzibar, ambapo Ustadhi wa Madrasa anatuhumiwa kumbaka Binti mwenye umri wa miaka 16 na kumpa ujauzito.
View attachment 2883332
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
📹 The Chanzo
Hatari snaUsipuuze cheo chake. Ndio kimempa fursa ya kubaka
Akina FaizaFoxy kamwe huwezi kuwaona kwenye mada kama hizi. Ila kichwa cha habari kingekuwa kinamhusu Padre wa Kanisa Katoliki sasa ndiyo ungewaona wakitamalaki.Hili tukio limetokea huko Zanzibar, ambapo Ustadhi wa Madrasa anatuhumiwa kumbaka Binti mwenye umri wa miaka 16 na kumpa ujauzito.
View attachment 2883332
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
📹 The Chanzo
Ulitaka kusemaje labda, mbona haueleweki unatapatapa tu, bado hujaongea hapo.Kwa sheria huyo ni kuuliwa maana ni mzinifu...Pia kesi za wanafunzi kupewa mimba ni nyingi sana...Hiyo habari nimeona the chanzo leo..
Hizi kesi ni nyingi sana unaweza kuangalia takwimu wa wanafunzi wanapewa mimba ,sasa hata viongozi kama hao wanafanya ujinga ,walimu wa dini hata wa shule za kawaida .
Sio ya kwanza zipo za walimu wa dini zote.