Video: Ustadhi wa madrasa adaiwa kumbaka na kumpa ujauzito binti wa miaka 16

Video: Ustadhi wa madrasa adaiwa kumbaka na kumpa ujauzito binti wa miaka 16

Hili tukio limetokea huko Zanzibar, ambapo Ustadhi wa Madrasa anatuhumiwa kumbaka Binti mwenye umri wa miaka 16 na kumpa ujauzito.

View attachment 2883332

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1
📹 The Chanzo
Tusiwaamini watu kwa mwamvuli wa dini.

Watu ni watu tu.

Na asili yetu ni wanyama.

Dini, sheria ni mambo tulijitungia wenyewe katika kutaka kushape/kutengeneza ustaarabu tu.

Kidogo tumefanikiwa ukilinganisha na zamani, lakini asili haipotei.

Mwalimu huyu alikuwa katika asili yake.

Hivyo bhasi, tusilichukulie jambo hili kama mtaji wa kuchafua uislamu wote.

Ila liwe ni fundisho kwamba asili yetu ni nini/ipi.

Nasema hvyo kwasababu mwalimu huyu wa madrasa angeweza kuzaliwa kwenye familia ya kikristo na akafanya mambo haya,

Angeweza kuzaliwa katika familia ya dini nyingine yeyote na bado akafanya mambo kama hayo,

Angeweza kuwa atheist pia na akafanya jambo kama hilo.

Utofauti tu ni kwamba yeye (mnyama/mtu) huyu kafanya jambo hilo kwa urahisi kulingana na nafasi aliyokuwa nayo tu.

Tusiziamini sana dini.

Wati ni watu tu.

#Imani ni shambulio la akili.
 
Hili tukio limetokea huko Zanzibar, ambapo Ustadhi wa Madrasa anatuhumiwa kumbaka Binti mwenye umri wa miaka 16 na kumpa ujauzito.

View attachment 2883332

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1
📹 The Chanzo
Halafu hizi ni tabia binafsi za mtu.
Msizinasibishe na dini havihusiani.
Ila Zanzibar nahisi watu wanapatwa na tatizo la kisaikolojia.
Maana kuna kesi ilitokea baba anamlawiti bintiye wa miaka 12 na bint alisema alishazoea walipofumwa na mamaake.
Huko Zanzibar kuna shida.
 
Hv mbona wanawake wapo sana inakuaje mtu anaanza kurubuni watoto wanaojifunza dini? Laana zingine tunajitakia tu
 
Hili tukio limetokea huko Zanzibar, ambapo Ustadhi wa Madrasa anatuhumiwa kumbaka Binti mwenye umri wa miaka 16 na kumpa ujauzito.

View attachment 2883332

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1
📹 The Chanzo

Ukisoma comments za watu utaona kabisa kizazi chetu kina uelewa mdogo sana sijui ni mfumo wa Elimu?
Yaani watu wanatanguliza chuki badala ya mada iliyoletwa mezani
Kimsingi hilo ni kosa binafsi la mtu na wala sio la dini yake!
 
Back
Top Bottom