Lakin mara tatu hapan Sheikh ana kosa ila mtoto alipenda mchezo.Hili tukio limetokea huko Zanzibar, ambapo Ustadhi wa Madrasa anatuhumiwa kumbaka Binti mwenye umri wa miaka 16 na kumpa ujauzito.
View attachment 2883332
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
📹 The Chanzo
Kwani wewe unataka nn?Ulitaka kusemaje labda, mbona haueleweki unatapatapa tu, bado hujaongea hapo.
FaizaFoxyHili tukio limetokea huko Zanzibar, ambapo Ustadhi wa Madrasa anatuhumiwa kumbaka Binti mwenye umri wa miaka 16 na kumpa ujauzito.
View attachment 2883332
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
📹 The Chanzo
Dogo ana miaka 16 pili alifanyiwa mara ya kwanza mara ya pili na mara kwa mara.... Alafu hakusema mpaka anapewa mimba dogo na yeye alinogewa, sema ustadhi kazingua..Hili tukio limetokea huko Zanzibar, ambapo Ustadhi wa Madrasa anatuhumiwa kumbaka Binti mwenye umri wa miaka 16 na kumpa ujauzito.
View attachment 2883332
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
📹 The Chanzo
Huyu pahala pake ni jela. Kwanza amezini, pili kampa ujamzito na tatu kamkatisha masomo.Hili tukio limetokea huko Zanzibar, ambapo Ustadhi wa Madrasa anatuhumiwa kumbaka Binti mwenye umri wa miaka 16 na kumpa ujauzito.
View attachment 2883332
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
📹 The Chanzo
Sheria ya kumbaka mkeo huwa haileti maana, mwanamke akimbadilikia jamaa wataprove vipi?Hata angekuwa na miaka 80 rapist ni rapist tu, kifungo cha chini ni miaka 30
Ubakaji hauna excuse ya umri, hata Mke wako ukimbaka sheria italala mbele na wewe.
Mke wako akisema umembaka maana yake hiyo ndoa haipo imeshakufa, muende mahakamani kuivunja rasmi msije mkaja kuuwana Baadaye.Sheria ya kumbaka mkeo huwa haileti maana, mwanamke akimbadilikia jamaa wataprove vipi?
Kumbaka vipi mke wako?Mke wako akisema umembaka maana yake hiyo ndoa haipo imeshakufa, muende mahakamani kuivunja rasmi msije mkaja kuuwana Baadaye.
That is the point.Mke wako akisema umembaka maana yake hiyo ndoa haipo imeshakufa, muende mahakamani kuivunja rasmi msije mkaja kuuwana Baadaye.