Video: Vijana kuweni serious. Kuna huyu Thobias Kahimba alianza kwa kuchoma CD kwa Tsh 100 hadi amekuwa Bilionea. Mnakwama wapi?

Video: Vijana kuweni serious. Kuna huyu Thobias Kahimba alianza kwa kuchoma CD kwa Tsh 100 hadi amekuwa Bilionea. Mnakwama wapi?

acha kuzuga mjinga wewe.kwani kuhusu kuhojiwa huyo bilionea si ilisema unataka uone akihojiwa na chombo zaidi yakimoja?

sasa hivi unajifanya siasa nyingi kumbe emty set
Wapi nimeandika neno chombo?

Tatizo wewe hujui tofauti ya chombo zaidi ya kimoja na source zaidi ya moja.

Ndiyo maana hatuelewani.

Tuna uelewa tofauti sana na ndiyo maana hatuwezi kuelewana.
 
Wapi nimeandika neno chombo?

Tatizo wewe hujui tofauti ya chombo zaidi ya kimoja na source zaidi ya moja.

Ndiyo maana hatuelewani.

Tuna uelewa tofauti sana na ndiyo maana hatuwezi kuelewana.
chanzo cha habari na chombo cha habari tofauti yake kwenye habari ni nini? ewe mjuaji
 
Mkuu kuandika kiingereza complicated cha darasani doesn't mean kwamba you're right, it just shows kwamba una ka-ushamba fulani na lugha ya kiingereza.

Inashangaza sana kumuona myu anayetaka ushahidi kila mara kuhusu mada za imani, leo anafanya 360 kwa kitu chepesi kama hiki.

Kwa hiyo mada ikiripotiwa na chanzo kimoja ndo inakosa credibility? Hiyo tip ya fact checking nani alikupa?

Kwa hiyo ITV, Clouds na TBC wangechukua the same news piece wakaipost kwao, ndo inakuwa credible?

Mbona ulikuwaga very logical mkuu, au umeingia UVCCM?
Wewe kumbe Mwehu. Ndo mana kila siku huwa nasema Ndugu Melo aweke hata Quick test kupima IQ za watu humu kabla ya kujoin.. Wewe ni mwendawazimu..
 
chanzo cha habari na chombo cha habari tofauti yake kwenye habari ni nini? ewe mjuaji
Chombo cha habari ni kile kinachoripoti habari.

Azam, ITV, BBC, CNN ni vyombo vya habari.

Vyanzo vya habari ni kule habari ilipotokea, source, Bwana X, Bwana Y.

Habari inaweza kuwa na chanzo kimoja, Mr. X, ikaripotiwa na vyombo kadhaa vya habari, ITV na Azam. Hiyo habari bado ina low credibility kwa sababu ina chanzo kimoja, licha ya kuripotiwa na vyombo kadhaa.

Pia, habari inaweza kuwa imeripotiwa na chombo kimoja tu Azam, lakini ina vyanzo kadhaa, Mr, A, Mr B, Ms X, Ms Y, ambao hawahusiani, hiyo habari imeripotiwa na chombo kimoja lakini ina high credibility kwa sababu ina vyanzo vingi tofauti.

Umeelewa tofauti ya chanzo cha habari na chombo cha habari sasa?
 
Pesa yoyote iliyopatikana kihalali haipigi kelele. Alianza na CD za ngono kweli zina wateja sana baadae ameingia kwenye haramu nyingine sasa anataka kujisafisha
 
Wewe kumbe Mwehu. Ndo mana kila siku huwa nasema Ndugu Melo aweke hata Quick test kupima IQ za watu humu kabla ya kujoin.. Wewe ni mwendawazimu..
Toka bwana 😂

Tafuta hela punguza makasiriko
 
Huyo mjamaa hana sura hata ya umilionea. Yaani ulugaluga wake unaoneka wazi..hana nuru ya ubilionea. Nahisi utajiri wake ni ule wa masharti

Ndo maana nikasema watu mnaamini stori za kina Zuckerberg na Steve Jobs ila Watanzania wenzenu wakitaja story zenu mnasema waongo.

Ulitaka avae masuti ndo ujue ana hela?
 
Chombo cha habari ni kile kinachoripoti habari.

Azam, ITV, BBC, CNN ni vyombo vya habari.

Vyanzo vya habari ni kule habari ilipotokea, source, Bwana X, Bwana Y.

Habari inaweza kuwa na chanzo kimoja, Mr. X, ikaripotiwa na vyombo kadhaa vya habari, ITV na Azam. Hiyo habari bado ina low credibility kwa sababu ina chanzo kimoja, licha ya kuripotiwa na vyombo kadhaa.

Pia, habari inaweza kuwa imeripotiwa na chombo kimoja tu Azam, lakini ina vyanzo kadhaa, Mr, A, Mr B, Ms X, Ms Y, ambao hawahusiani, hiyo habari imeripotiwa na chombo kimoja lakini ina high credibility kwa sababu ina vyanzo vingi tofauti.

Umeelewa tofauti ya chanzo cha habari na chombo cha habari sasa?
kwahio wewe unabisha kua huyo jamaa sio bilionea kisa karipotiwa na chanzo kimoja?
 
Kijana tafuta biashara halali, then ndan ya hiyo biashara halali anza kuuza haramu kutoboa ni fasta. Hawa matajiri Wana Siri nzito sana asikuambie mtu
 
First things first.

Inferiority complex yako kuhusu Kiingereza ni tatizo lako, si langu.

Hicho si Kiingereza complicated, ni cha kawaida, ukikiona complicated wewe ndiye mwenye tatizo Kiingereza cha kawaida unakiita complicated. Hilo ni tatizo lako, si langu.

Habari ya mtu, iliyotolewa na huyo mtu mwenyewe, bila kuwa na chanzo cha pili tofauti kinachoitoa hivyo hivyo, ni habari yenye low credibility.

Walioenda shule za uandishi wa habari wanaelewa hili jambo kuwa ni la wazi na msingi kabisa.

Waliojielimisha wenyewe kuhusu haya mambo wanaelewa hilo pia.

Tatizo wewe hujasoma haya mambo kwenye elimu rasmi wala hujajielimisha mwenyewe.

Na kila unavyopinga jambo la msingi kama hili, unazidi kuonesha utupu wako.

Kwamba wewe si mjinga tu, wewe ni mjinga mbishi.

Unaruhusiwa juwa mjinga, utaelinushwa. Unaruhusiwa juwa mbishi, labda utael8nisha watu.

Lakini.

Ukiwa mjinga, usiwe mbishi.

Unanipotezea muda.

Usini-quote tena kama haujaja na ushahidi wa mambo haya mawili

1. Niletee ushahidi kwamba jamaa hajawahi kuwa mchoma CD

2. Niletee ushahidi kama jamaa sio bilionea.

Hayo matusi mengine uliyoweka hapo nitaya-ignore same way nitaku-ignore kama hutaleta ushahidi wowote.

Ni aibu kubwa sana, stori za kina Zuckerberg mnaziamini ila watanzania wenzenu hamtaki kuzisikia mpaka forbes na media zaidi ya 10 ziripoti.

It's lame and pathetic.
 
Ndo maana nikasema watu mnaamini stori za kina Zuckerberg na Steve Jobs ila Watanzania wenzenu wakitaja story zenu mnasema waongo.

Ulitaka avae masuti ndo ujue ana hela?
Sisi ndo wabongo bana.
 
Hata chief god love alikuwa ana burn CD😀😀 inaonekana kuburn CD ndio mpango mzima
 
Wabongo hamuwezi kuongea kwa hoja dhahania, uwezo wenu wa abstract thinking ni mdogo sana.

Mimi simjui huyo jamaa. Wala simuongelei yeye.

Naongelea a general rule of news verificayion ambayo wewe sitaki shule unapaswa kujifunza.

Katika dunia ya leo ya fake news na kulishana matango pori sana, habari ya kutika chanzo kimoja, ya kuhusu hicho chanzo, ina low credibility.

Habari hiyo inatakiwa kuhakikiwa kwa kutolewa kwenye chanzo kingine.

Hii ni general rule, waandishi wa habari wanaielewa, wala si wivu kwa mtu fulani.

Sasa mimi nikisema habari ina low credibility kwa kuwa inetolewa na chanzo kimoja, tena mtu mwenyewe, unafikiaje hitimisho kuwa ni wivu?

Umeshindwa kujadili hoja za jifalsafa unakimbikia habari ya wivu kama mipasho ya taarabu?

Hakuna cha vyanzo vingi.

Ili awe bilionea ulitaka aandikwe Forbes na majarida kama Entrepreneur ndo uamini.

Uko in denial state.

Kuna watanzania ambao wameanza from the scratch and they made it. Hicho ndo kitu hamtaki kuamini.

Kuna habari nyingi humu una-comment na kuziamini hata kama zimetoka kwenye source moja na sijawahi kukuona unalamika ni za uongo, why this?

Kiingereza kingi ila point sifuri 😂😂

Buckle up
 
Wewe kwanza hata comprehensi9n level yako ni ndogo.

Hujui kusoma kwa ufahamu.

Wapi nimetaja vyombo vya habari vingi?

Unqjua kusoma kwa ufahamu wewe?

Umeanza kubadilisha maneno? 😂😂
 
kwahio wewe unabisha kua huyo jamaa sio bilionea kisa karipotiwa na chanzo kimoja?
Hapana,hujaelewa hoja na pengine huna uwezo wa kuelewa hoja.

Wala sijamuongelea huyo jamaa tu.

Nakwambia tu a general rule, habari yoyote inatakuwa kuwa na chanzo zaidi ya kimoja ili kuwa credible.

Na wala sijauongelea huo ubilionea wa pesa ya madafu ambao ukiuweka kwenye viwango vya kimataifa kwenye Forbes hata hauitwi ubilionea.

Naongelea habari nzima ya alivyoanzia mpaka kufika hapo, haijahakikiwa na vyanzo tofauti.

Mtu kuwa yeye ndiye source ya habari yake, tena source pekee ya hiyo habari, kunaifanya habari kuwa na low credibility.

Inatakiwa kuwe na sources tofauti ambazo hazihusiani ili kuifanya habari kuwa ya kuaminika.

Wabongo mbona mnakuwa washamba wa mambo ya kawaida tu kama haya?
 
Safari hatua nae amepiga ya kwake,vijana wa leo hawataki struggle wameridhika na kidogo wapatacho wakiona vyakuwazidi wanakuja na ujuaji mwingi....hukawii kuskia ni freemason
 
Back
Top Bottom