Video: Vijana kuweni serious. Kuna huyu Thobias Kahimba alianza kwa kuchoma CD kwa Tsh 100 hadi amekuwa Bilionea. Mnakwama wapi?

Video: Vijana kuweni serious. Kuna huyu Thobias Kahimba alianza kwa kuchoma CD kwa Tsh 100 hadi amekuwa Bilionea. Mnakwama wapi?

Sitaki kuamini, nataka habari yenye multiple sources ili iweze kuhakikika zaidi.

Habari ya mtu kutoka kwa mtu mmoja tu, tena yeye mwenyewe, unaweza kuambiwa lolote, haina a high degree of credibility.

Kwa nini somo hili rahisi linakuwa gumu sana kwa Watanzania wengi?
sasa unataka nani akamhoji kwaajili yako siuende mwenyewe?
nahata usipo amini kwani unampunguzia ubilionea wake?
 
Kwani wapi nimesema jamaa si bilionea?

Ubilionea wa pesa za madafu ambazo dola moja ni shilingi 2500 nao unauhesabu ubilionea? Huo ni ubilionea wa Kariakoo tu ukiupeleka hata Kenya hapo unarudi chini.

Ukiugawanya kwa 2500 huo ubilionea utabaki ubilionea? Huyo jamaa ana one billion US dollars?

Au mnarukia tu maneno ya watu, mnachukua jina bilionea where a billionaire means something mnau copy paste kwenye shilingi za madafu huko?

Unaelewa hata hoja yangu ni nini?

Au unarukia tu mazungumzo?
kwahio huyo jamaa sio bilionea?mzee zinakutosha?
 
Kwani wapi nimesema jamaa si bilionea?

Ubilionea wa pesa za madafu ambazo dola moja ni shilingi 2500 nao unauhesabu ubilionea? Huo ni ubilionea wa Kariakoo tu ukiupeleka hata Kenya hapo unarudi chini.

Ukiugawanya kwa 2500 huo ubilionea utabaki ubilionea? Huyo jamaa ana one billion US dollars?

Au mnarukia tu maneno ya watu, mnachukua jina bilionea where a billionaire means something mnau copy paste kwenye shilingi za madafu huko?

Unaelewa hata hoja yangu ni nini?

Au unarukia tu mazungumzo?

Ilianza kwa kusema ni uongo, ukasema hakuna credible source na sasa hivi umeanza kudogosha pesa zake ambazo we can tell kabisa HUNA 😂

Wivu wako ukiu-marinate kidogo tu unaenda kuwa Kalumanzila!
 
Kama hio kazi inawafanya watu mabilionea mbona mimi sikuwahi kuwa billionea.

Niliifanya hio mishe 2009-2010 ila zaidi ya kupata mademu hamna nilichofaidika nacho. Hela ya kula tu.
Hiko kitakua ni kianzio tu lazima kuna fursa alikutana nayo hapo kati sema hajataka kuweka wazi kakwambia alipoanzia tu
 
Hiko kitakua ni kianzio tu lazima kuna fursa alikutana nayo hapo kati sema hajataka kuweka wazi kakwambia alipoanzia tu
Always kuna siku moja maisha yanabadilika completely. Unakutama na mtu anakupa tobo unapata chain ya deals ambapo after a shortwhile unapata pesa nyingi sana.

Unabadili circle ya watu unajiwekeza huku na kule then boom after 10 good years umeshafikia level za ubilionea. Hii sehemu ya story huwa wengi hawaizungumziagi ndo maana success story nyingi za kibongo hazi add up.
 
Hayo ni majanga kama majanga mengine eg. Mafuriko nk.

By the way hojayako inazungumzia afya na usalama, ambavyo nimevimention tayari.

Pia tambua kwamba kila unavyozidi kutajirika ndivyo usalama wako unakuwa hatarini.
Bila mabaunsa wa kutosha huwezi toka na ukawa na amani

Majanga sio part ya maisha?

Mkuu kila mtu anatafuta hela kwa pace yake.

Wewe kama unatafuta hela kwa ajili ya kula na kununua Nike (which is okay) wenzako wanawaza mbele, they want to have more.
 
Kwa Umri nilionao Kwa sasa Hivi Nina Miaka 53 nimebakiza Miaka 7 Nistaafu..
Hata Nikiweka Milion Kumi Kw Umri wangu Tayari Maji ya Jioni haya 😀😀
Naweza Nisifikishe hata Milion 70 😀😀
Mkuu sema kwa nchi za wenzetu 53 bado kijana kabisa 😆
 
Ilianza kwa kusema ni uongo, ukasema hakuna credible source na sasa hivi umeanza kudogosha pesa zake ambazo we can tell kabisa HUNA 😂

Wivu wako ukiu-marinate kidogo tu unaenda kuwa Kalumanzila!
huyu anatia huruma sana.
hela ya bongo niya bongo na yakenya ni ya Kenya. sijui yupoje huyu mtu🤣🤣🤣
 
Mtu katika kuangaika unapitia shughuli mbalimbali lakini kuna shughuli fulani miongoni mwa zile ulizopitia ndiyo inakuwa msingi wa mafanikio yako,sasa kwa huyo jamaa angesema kilichompa mafanikio,siyo aseme kilichompa mafanikio ni kuchoma CD.
Umeangalia hio video? Ku bsm cd ni mwanzo baadae aliendelea na vitu vingine.
 
Kama hio kazi inawafanya watu mabilionea mbona mimi sikuwahi kuwa billionea.

Niliifanya hio mishe 2009-2010 ila zaidi ya kupata mademu hamna nilichofaidika nacho. Hela ya kula tu.
Hio ni kawaida tu. Hata mimi shughuli ninayoifanya inefanya wengi mabilionea na mimi ni choka mbaya ila siwezi kukaa hapa kujifariji eti wao wamekuwa mabilionea kwasababu ya vitu viovu nyuma ya pazia. No never.
Acheni kujifariji.
 
Hio ni kawaida tu. Hata mimi shughuli ninayoifanya inefanya wengi mabilionea na mimi ni choka mbaya ila siwezi kukaa hapa kujifariji eti wao wamekuwa mabilionea kwasababu ya vitu viovu nyuma ya pazia. No never.
Acheni kujifariji.
Kazi inategemea unaifanya kwa ukubwa gani na kwa muda gani. I believe time factor is all it takes for one to succed.

How long your consistency is at doing something has alot to do with the success that comes as a result. Kingine ni how you expand, jambo lolote ukilifanya kwa ukubwa matokeo lazma yawe makubwa.
 
Hio ni kawaida tu. Hata mimi shughuli ninayoifanya inefanya wengi mabilionea na mimi ni choka mbaya ila siwezi kukaa hapa kujifariji eti wao wamekuwa mabilionea kwasababu ya vitu viovu nyuma ya pazia. No never.
Acheni kujifariji.

Watu hawataki kuamini kuna mabilionea walioanza from the scratch.

They are terrified of the idea kwamba kulikuwa na mtu kama wao ambaye alianza akiwa chini akaenda on top of the food chain.

Wanajisikia vibaya sana kwa sababu watajihisi wao ni wavivu au hawatoshi.

Ndo maana wanataka sources nyingi nyingi 😂
 
Wakuu,

Kuna muda kama vijana inabidi muwe serious na maisha.

Kuna huyu kijana nimemuona huko Azam TV anasema alianza kwa kuchoma CD yaani nyimbo moja alikuwa anaweka kwa Tsh 100 aka-fight sana.

Anasema alikuwa kwa siku alikuwa anatumia 1000 mpaka 1500 tu kuna kipindi mpaka akaumwa vidonda vya tumbo.

Sasa hivi ni Bilionea mkubwa tu. Ana duka kubwa la hardware na anafanya mambo ya usafirishaji na ameajiri watu wengine 71

Sasa vijana mnakwama wapi kuwa kama huyu? Kuweni serious

Katika maisha yangu hadi nilipofikia kiumri, nimejifunza kuwa:

Hakuna tajiri yeyote atakayekuambia siri ya mafanikio yake.
 
Back
Top Bottom