Video: Vijana kuweni serious. Kuna huyu Thobias Kahimba alianza kwa kuchoma CD kwa Tsh 100 hadi amekuwa Bilionea. Mnakwama wapi?

acha kuzuga mjinga wewe.kwani kuhusu kuhojiwa huyo bilionea si ilisema unataka uone akihojiwa na chombo zaidi yakimoja?

sasa hivi unajifanya siasa nyingi kumbe emty set
Wapi nimeandika neno chombo?

Tatizo wewe hujui tofauti ya chombo zaidi ya kimoja na source zaidi ya moja.

Ndiyo maana hatuelewani.

Tuna uelewa tofauti sana na ndiyo maana hatuwezi kuelewana.
 
Wapi nimeandika neno chombo?

Tatizo wewe hujui tofauti ya chombo zaidi ya kimoja na source zaidi ya moja.

Ndiyo maana hatuelewani.

Tuna uelewa tofauti sana na ndiyo maana hatuwezi kuelewana.
chanzo cha habari na chombo cha habari tofauti yake kwenye habari ni nini? ewe mjuaji
 
Wewe kumbe Mwehu. Ndo mana kila siku huwa nasema Ndugu Melo aweke hata Quick test kupima IQ za watu humu kabla ya kujoin.. Wewe ni mwendawazimu..
 
chanzo cha habari na chombo cha habari tofauti yake kwenye habari ni nini? ewe mjuaji
Chombo cha habari ni kile kinachoripoti habari.

Azam, ITV, BBC, CNN ni vyombo vya habari.

Vyanzo vya habari ni kule habari ilipotokea, source, Bwana X, Bwana Y.

Habari inaweza kuwa na chanzo kimoja, Mr. X, ikaripotiwa na vyombo kadhaa vya habari, ITV na Azam. Hiyo habari bado ina low credibility kwa sababu ina chanzo kimoja, licha ya kuripotiwa na vyombo kadhaa.

Pia, habari inaweza kuwa imeripotiwa na chombo kimoja tu Azam, lakini ina vyanzo kadhaa, Mr, A, Mr B, Ms X, Ms Y, ambao hawahusiani, hiyo habari imeripotiwa na chombo kimoja lakini ina high credibility kwa sababu ina vyanzo vingi tofauti.

Umeelewa tofauti ya chanzo cha habari na chombo cha habari sasa?
 
Pesa yoyote iliyopatikana kihalali haipigi kelele. Alianza na CD za ngono kweli zina wateja sana baadae ameingia kwenye haramu nyingine sasa anataka kujisafisha
 
Wewe kumbe Mwehu. Ndo mana kila siku huwa nasema Ndugu Melo aweke hata Quick test kupima IQ za watu humu kabla ya kujoin.. Wewe ni mwendawazimu..
Toka bwana πŸ˜‚

Tafuta hela punguza makasiriko
 
Huyo mjamaa hana sura hata ya umilionea. Yaani ulugaluga wake unaoneka wazi..hana nuru ya ubilionea. Nahisi utajiri wake ni ule wa masharti

Ndo maana nikasema watu mnaamini stori za kina Zuckerberg na Steve Jobs ila Watanzania wenzenu wakitaja story zenu mnasema waongo.

Ulitaka avae masuti ndo ujue ana hela?
 
kwahio wewe unabisha kua huyo jamaa sio bilionea kisa karipotiwa na chanzo kimoja?
 
Kijana tafuta biashara halali, then ndan ya hiyo biashara halali anza kuuza haramu kutoboa ni fasta. Hawa matajiri Wana Siri nzito sana asikuambie mtu
 

Unanipotezea muda.

Usini-quote tena kama haujaja na ushahidi wa mambo haya mawili

1. Niletee ushahidi kwamba jamaa hajawahi kuwa mchoma CD

2. Niletee ushahidi kama jamaa sio bilionea.

Hayo matusi mengine uliyoweka hapo nitaya-ignore same way nitaku-ignore kama hutaleta ushahidi wowote.

Ni aibu kubwa sana, stori za kina Zuckerberg mnaziamini ila watanzania wenzenu hamtaki kuzisikia mpaka forbes na media zaidi ya 10 ziripoti.

It's lame and pathetic.
 
chanzo cha habari na chombo cha habari tofauti yake kwenye habari ni nini? ewe mjuaji
Wewe ni mwehu hivi ulienda shule wewe kweli? Hiyo pesa baba yako angenunua bunda walau ana msaada kufanya usafirishaji. Mbwa wee!
 
Ndo maana nikasema watu mnaamini stori za kina Zuckerberg na Steve Jobs ila Watanzania wenzenu wakitaja story zenu mnasema waongo.

Ulitaka avae masuti ndo ujue ana hela?
Sisi ndo wabongo bana.
 
Hata chief god love alikuwa ana burn CDπŸ˜€πŸ˜€ inaonekana kuburn CD ndio mpango mzima
 

Hakuna cha vyanzo vingi.

Ili awe bilionea ulitaka aandikwe Forbes na majarida kama Entrepreneur ndo uamini.

Uko in denial state.

Kuna watanzania ambao wameanza from the scratch and they made it. Hicho ndo kitu hamtaki kuamini.

Kuna habari nyingi humu una-comment na kuziamini hata kama zimetoka kwenye source moja na sijawahi kukuona unalamika ni za uongo, why this?

Kiingereza kingi ila point sifuri πŸ˜‚πŸ˜‚

Buckle up
 
Wewe kwanza hata comprehensi9n level yako ni ndogo.

Hujui kusoma kwa ufahamu.

Wapi nimetaja vyombo vya habari vingi?

Unqjua kusoma kwa ufahamu wewe?

Umeanza kubadilisha maneno? πŸ˜‚πŸ˜‚
 
kwahio wewe unabisha kua huyo jamaa sio bilionea kisa karipotiwa na chanzo kimoja?
Hapana,hujaelewa hoja na pengine huna uwezo wa kuelewa hoja.

Wala sijamuongelea huyo jamaa tu.

Nakwambia tu a general rule, habari yoyote inatakuwa kuwa na chanzo zaidi ya kimoja ili kuwa credible.

Na wala sijauongelea huo ubilionea wa pesa ya madafu ambao ukiuweka kwenye viwango vya kimataifa kwenye Forbes hata hauitwi ubilionea.

Naongelea habari nzima ya alivyoanzia mpaka kufika hapo, haijahakikiwa na vyanzo tofauti.

Mtu kuwa yeye ndiye source ya habari yake, tena source pekee ya hiyo habari, kunaifanya habari kuwa na low credibility.

Inatakiwa kuwe na sources tofauti ambazo hazihusiani ili kuifanya habari kuwa ya kuaminika.

Wabongo mbona mnakuwa washamba wa mambo ya kawaida tu kama haya?
 
Safari hatua nae amepiga ya kwake,vijana wa leo hawataki struggle wameridhika na kidogo wapatacho wakiona vyakuwazidi wanakuja na ujuaji mwingi....hukawii kuskia ni freemason
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…