Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Umejioaka matope kigentlemen.....unerogwa gentleman 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejioaka matope kigentlemen.....unerogwa gentleman 🐒
Nimekuuliza swali jibu swali , umejipaka matope?pole sana,
utapona tu gentleman, madawa yapo ya kutosha saivi [emoji205]
nimekueleza matibabu ya afya ya akili ni uhakika saivi gentleman 🐒Nimekuuliza swali jibu swali , umejipaka matope?
1. UjingaWakuu
Vijana kama vijana kutwa busy na mambo ya uchawa tu!
Kikundi cha Vijana Waliojipaka Matope mwili mzima ni miongoni mwa watu waliopata fursa ya kuwepo kwenye maandamano ya watu elfu 5 walioingia uwanjani na kupita mbele ya Rais Samia kwenye sherehe za miaka 48 ya CCM mkoani Dodoma.
Soma, Pia
Kwani yule aliyekuwa anagalagala kwenye vumbi na suti akishukuru kwa ujenzi wa barabara hamkumuona?Wakuu
Vijana kama vijana kutwa busy na mambo ya uchawa tu!
Kikundi cha Vijana Waliojipaka Matope mwili mzima ni miongoni mwa watu waliopata fursa ya kuwepo kwenye maandamano ya watu elfu 5 walioingia uwanjani na kupita mbele ya Rais Samia kwenye sherehe za miaka 48 ya CCM mkoani Dodoma.
Soma, Pia
Maana yake,njaa mbaya.Hiyo maana yake nini?
Hii nchi CCM ndio tatizo kubwa, wamekutana na mwenyekiti wao hamnazo basi ndio wanatumbua tu pesa za chama na serikali kwa maslahi binafsi ya mwenyekitiHii Nchi imelogwa imelogwa imelogwa.
Wewe kama unadhani hili ni jambo la kawaida basi nawewe umelogwa Tena na mwamposa.
Duniani kote sijawahi ona hii kitu.
Pumbavu. Nimekuuliza swali jibu swali , umejipaka matope?nimekueleza matibabu ya afya ya akili ni uhakika saivi gentleman [emoji205]
Naunga mkono..Kuna watu hata ukiwatoa kafara , Mungu na ndugu wanaojielewa watakuelewa tu.Kwa hao waliojipaka tope .......kama una ndugu pale mtoe fungu kwa mganga .......maana huyo atakuwa hana faida kabisaaa
Tusubilie Kagame aje ajichukulie na Kigoma maana watu hawana akiliWakuu
Vijana kama vijana kutwa busy na mambo ya uchawa tu!
Kikundi cha Vijana Waliojipaka Matope mwili mzima ni miongoni mwa watu waliopata fursa ya kuwepo kwenye maandamano ya watu elfu 5 walioingia uwanjani na kupita mbele ya Rais Samia kwenye sherehe za miaka 48 ya CCM mkoani Dodoma.
Soma, Pia
gentleman,Pumbavu. Nimekuuliza swali jibu swali , umejipaka matope?

Siasa chafu za Ushabiki bila HojaWakuu
Vijana kama vijana kutwa busy na mambo ya uchawa tu!
Kikundi cha Vijana Waliojipaka Matope mwili mzima ni miongoni mwa watu waliopata fursa ya kuwepo kwenye maandamano ya watu elfu 5 walioingia uwanjani na kupita mbele ya Rais Samia kwenye sherehe za miaka 48 ya CCM mkoani Dodoma.
Soma, Pia
Nchi ambayo wananchi wake wanaoishi na virusi vya UKIMWI hawajui hatima ya maisha yao baada ya msaada kukatishwa, huku wafanyakazi wa mashirika hayo wakiwa wanaona giza mbele yao.Wakuu
Vijana kama vijana kutwa busy na mambo ya uchawa tu!
Kikundi cha Vijana Waliojipaka Matope mwili mzima ni miongoni mwa watu waliopata fursa ya kuwepo kwenye maandamano ya watu elfu 5 walioingia uwanjani na kupita mbele ya Rais Samia kwenye sherehe za miaka 48 ya CCM mkoani Dodoma.
Soma, Pia