Video: Vituko vya 'Mfalme Zumaridi', amchumu mwandishi Mahakamani

Video: Vituko vya 'Mfalme Zumaridi', amchumu mwandishi Mahakamani

Huyu Zumaridi analazimisha vijana watano kila siku kufanya nae ngono. Nenda Buhongwa pale upate stori zake. Yaani anasemekana ana nyege balaa. Muda tu humo ndani ataanza vitimbi cha nyege. Ni hatari sana huyu.

Sent from my SM-A320F using JamiiForums mobile app
Wamtatue marinda tu ataacha nyege
 
Nilimuona mahakamani ni mbayaaaa dah sura ile.hizi wigi zinaficha mengi.
 
Siku chache tangu Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kumkamata Diana Bundala maarufu kwa jina la Mfalme Zumaridi ambaye ni Mchungaji wa Kanisa la Zumaridi, ameendelea kutrend mitandaoni kutokana na vituko vyake.

Akiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza alipofikishwa na wenzake, Machi 2, 2022, alionekana kufanya vituko kadhaa ikiwemo kuwaambia waandishi wa habari kuwa: “Mmemuona Mungu?”

Nukta chache baadaye akaonekana akijibu mwandishi ambaye alimsalimia kwa kumwambia “Mungu hi!” Naye akamjibu: “Hi!” kisha akamchumu mwandishi huyo kwa mbali.
View attachment 2138340

Video: Yuhoma TV
😂😂😂😂😂
 
Ni utata sana haya maswala ya imani

Watu 80+ wamegoma kupewa dhamana, wanataka wateseke na Mungu wao
 
huyu wakimpeleka magereza hamalizi mwezi anapewa Unyapara au Askari selo au member of staff

akifungwa kabisa hamalizi mwka anapewa unyapara Mkuu kwa upande wa wanawake maana kwa namna

alivyofetuka akili akiingia jela akaongezea ufyetukaji kidogo akawa KAFYETUKA square,hamna kima yeyote

itamwambia kitu maana ni chizi bin mwehu huyu mungu zumaridi,hapo tu n uraia,Akika jela miaka mi 3 na Mke ataoa huko huko.
Wasisahau kumpitia kote kote!
Mpuuzi sana!
 
Ni utata sana haya maswala ya imani

Watu 80+ wamegoma kupewa dhamana, wanataka wateseke na Mungu wao
Wapelekwe tu huko wanakopataka naamini wakipitiwa kikamilifu hakuna miungu wataacha kuiona!

#Nguvu za giza tu
 
Hawa wenye vituko wawe wanaachwa tu kama vituko vyao havina madhara kwa jamii, huu mtindo wa kamatakamata na kushitaki mahamani ipo siku polisi watakamata na kushitaki wendawazimu mahakamani halafu polisi wenyewe ndio wataonekana kituko

Kama ilivyokuwa kwa Nabii Tito.
 
Tuacheni masihara mwanamke akisuka mistari kama kichwa ndio kimekaa kama cha zumaridi

anakua kama wale binadamu wa kwanza kina homosapiens (stage 1) yani kichwa yake haina chogo

maskio ni ya kutafuta na tochi (viskio vduchuuu) halafu kwa kumalizia kile kchogo cha kutafuta na tochi kimeangalia kwa juu, weeeeee Wadada vaeni tu ma WIG nimekubaliiiiiiiiiiii na sasa naelewa wengine mko na special Case...

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wee jamaa mkorofi
 
Back
Top Bottom